Maccm yatakapokuwa mapinzani 2015 na lichama lao litakufa siku hiyohiyo. Nayachukia sana yamewafanya wtz waish na misongo ya mawazo kila kukicha, hawana aman mioyon, kila mtu, kila family, taacc mbalimbal, din zote na vyama vya siasa. Naiombea sana chadema. Naamini cdm italigalagaza 2015...