Picha: Kinana akiwa ziarani jijini Mbeya

Picha: Kinana akiwa ziarani jijini Mbeya

Uzi wa Kinana na Nape lakini CHADEMA inatajwa mwanzo mwisho.

Hata mimi nashangaa, chama (CHADEMA) ambacho kinasemwa kimefikia mwisho wakati kinawanyima usingizi kila kukicha. CCM ni kama shetani, maana shetani kila siku anahangaika na wale wanaomcha mwenyezi Mungu kwa dhati, wale ambao hawana imani kabisa hao wala hana muda nao maana ni wake tayari. CCM hata siku moja hawataji TLP, UDP, CUF, etc., kila kukicha CHADEMA, jamani CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA,......
 
Sasa hizo bajaj mafuta usikute walipiga nyoka toka kwenye V8 aka Kilimo kwanza walizokuja nazo.
 
Ccm kwa mbeya mtasubiri sana. Kwa kifupi hamtakiwi hatuwataki majangili wakubwa nyie.
 
Napata wasi wasi kuamini kama kweli hawa ni wananchi wa kawaida na sio wanachama kutoka wilaya nyingine za karibu, mbona wote wamevaa sare za chama ? Ina maana huu mkoa watu wote wana sare hizi ?
 
Weka mbazo hazijachakachuliwa tuzione mnadanganya watu kupanda bajaji kumbe maV8 mmeyaweka hotelini na vimada vyenu mmebakiza mwaka tu muondoke

Wewe 'mtoto' wa Mwl. Nyerere tunafahamu utapeli kwako ndiyo jadi.

Picha za Nov 2011 mnawadanganya wanaJf kuwa zimepigwa jana.

Kwa sasa una tapeli kwa kubadilisha Jf name na kuja na jingine ili kuwaaminisha wanaJf wenye mtazamo tofauti na CHADEMA wanavyoiona kitaifa.
 
kwenye ziara hii kinana na nape wameongoza kwa kupiga picha za maigizo. ndo mafanikio hayo.
 
chadema wanaumia sana wakiona ccm wanapata watu, nyie pigeni domo humu JF wenzenu wanajenga nchi na watu wanaona
 
Mnakuja na VX V8 15 halafu mnakodi vibajaji na kusema eti ndo usafiri wenu... Aisee! kwa uongo tu hamjambo
 
chadema wanaumia sana wakiona ccm wanapata watu, nyie pigeni domo humu JF wenzenu wanajenga nchi na watu wanaona

Watu kwa maloli ndo mnachoweza. Nani hajaona unavyoswaga watu kwa posho ili uwanja ujae, lakin hamfikii Nyomi linalokuja lenyewe la CHADEMA.
 
Wembe ni ule ule 2015 CCM ushindi ni jadi yetu
 
Kuna fursa nyingine ya kutuongezea kipato kutoka kwa Watalii wa nje na ndani..WANASIASA NA MIKUTANO YA CCM itawavutia sana watalii sasa inabidi itangazwe nje na ndani ya nchi kama vivutio vya utalii(Kagasheki huko wapi fursa hiyo)
 
Mikitano ya kisanii lazima iwe na wasanii, kujazilizia umati.

222.jpg
 
Kandoro mwenyewe kavaa gwanda kwa kuwa anajua Mbeya hawadanganyiki ni wanamageuzi wa ukweli.
Kinana na Nape wanafanya tu mchezo wa kuigiza, mara wapande baiskeli, mara wapande bajaj, mara wale wali maharage, wale chai na vitumbua wamekaa chini, wabebe vitofali na kulima na jembe la mkono, yooote hayo majibu watayapata 2015


Ni kweli we waache wajifuraishe tu. Au wanadhani nyakat hiz na maisha haya bado kuna mamburula wengi?; wataisoma 2015 wataduwaa. Waacheni tu wapoteze mda.
 
hii c Mbeya ninayoijua mimi. Ndo yale ya kusomba watu kwa magari toka Mbeya vijijini na zile mbinu za kuwavesha sare za maccm kwa lazima wanafunzi wa shule za jumuiya za wazazi za Maccm jijini Mbeya hasa SANGU sec na META hii yote ni kudanganya umma wa watanzania kuwa bado mnamvuto Mbeya. Ewe Kinana na Nape mcje mkajicfu kwa umati huo wa watu hizo ni mbinu tu za viongozi wa Maccm Mbeya hasa wanapoenda viongozi wa kitaifa jijini humo ili wasiaibike.
 
Kinana amesahau Development Studies (DS 100), Nape ndio imempitia pembeni kabisa. Watawala na watawaliwa hawawezi kuwa pamoja hata siku moja. Panda Bajaj, baiskeli, mtumbwi, beba tofali, kula kwa mama ntilie etc wewe bado ni mtawala tu
 
Back
Top Bottom