Recent content by Mjane

  1. M

    Mjane

    Nashukuru kwa ushauri
  2. M

    Mjane

    Asante nashukuru
  3. M

    Mjane

    Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika...
  4. M

    Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

    Mwaka 2013 ulikuwa mbaya kwangu kwakweli ,nilimpoteza mume wangu mpenzi ...May his soul Rest In Peace .Amin
  5. M

    WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

    Mjane natumia jina hilo kwakuwa mume wangu amefariki.
  6. M

    Wasichana wa kihabeshi

    Hahahahahaha
  7. M

    Je naweza pona hili tatizo la jicho?

    Haya km umeamua lkn km hakuna ulazima bora ungeliacha ,maana usingetengeneza ugonjwa mwingine
  8. M

    Je naweza pona hili tatizo la jicho?

    Km jicho lako halina shida ungebaki hivyohivyo ndugu au una ona haya kwa kuwa kengeza
  9. M

    Bastola Kibamia..........

    Kwi kwi kwi.jf kiboko
  10. M

    Happy birthday to me

    Happy dayB'day ...M'Mungu azidi kukupa maisha marefu ..AMEIN
  11. M

    Ni kweli ipo hivyo au kuna jingine nyuma ya pazia?

    Kutoka kwenye nyumba ya kupanga na kuhamia hotelini ?samahani hv huyo jamaa yako unamfahamu hata rafiki yake mmoja?
Back
Top Bottom