Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

Usiogope mkuu hiyo ni furaha ya ushindi..... Hujasikia watu wanavua bukta baada ya kufunga gor wkt wa mechi. Litaisha tuu. Ila naogopa usije ukaanza na kugegeda km wanyama hasa mbwa duuuu mbona wote watakukimbia.
 
Una pepo la ngono, nenda kwa mchungaji wa kanisa lolote la wokovu (Kakobe, Fernandes, Mwingira, Lusekelo, Rwakatare, Gwajima) ukatubu na uombewe. Shauri yako usipofanya hivyo, kuna siku utanena kwa lugha usizozifahamu.
 
Mi naona ni kawaida kwa mtu awe mke au mme kutoa sauti ila siyo ya kupitiliza,
Inawezekana mwenzako kakurekodi kwa ukaribu sana na wakati wa kusikiliza akaweka sauti kubwa ili ikutishe uache hiyo tabia,maana inamkera.
Kama umefikisha umri wa kuoa,nakushauri oa afu hilo tatizo mtalimaliza na wife wako,bila kutishiana kuachana.
maana mtasaidiana kunako 6/6,Viginevyo waone madaktari wanaoitwa gynacologist(sina uhakika na hizo spelling)
lakini wapo madaktari waliosomea mambo ya ndoa na viambata vyake wanaweza kukusaidia,ukienda kwa mganga utaambiwa una jini mahaba.
 
Kifimboplayer

pole, ingekuwa unaunguruma kwa aina moja sio tatizo lkn goli tatu kila goli na muungurumo wake hapo shida ipo, fanya maombi tu kwa mungu
 
Last edited by a moderator:
Peleka tigo,au voda waifanye ringtones kwnye matangazo yao,utapiga sana pesa ndgu,fursa ndo hyo changamkia deal hlo,watu wengine mnatembea na utajiri bila wenyewe kujijua,fanya fasta kaka,au kama vip nipe mimi 2fanye biashara,wewe ndiyo mtu wa kwanza duniani ku innovate kitu kma hicho, usilaze damu kaka
 
Back
Top Bottom