kapuyanga mkware
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 589
- 143
Tupo nae dar,yee tabata mi huku baruti kimara
Nipe simu yake huyo dame
Tupo nae dar,yee tabata mi huku baruti kimara
Unakaa wapi na yeye anakaa wapi?
Mwenye namba ya Uhamiaji Please... Viva Kimbunga
tatizo baada ya muda ukoo wake wote utahamia kwako. Uhamiaji itabidi wawe rafiki zako.
Mtamu?
Nataka nifanye hivyo si unajua tena haya mambo inabidii udadavue na umjue huyo msichana kwa undani zaidi
amharic?wapo kama wasichana wengine wa uku pia wana upendo wa kweli siyo kama hawa wa kibongo.
pia waho ata mkishindia chapati kila siku wao uona sawa sababu kwao ni kawaida na ndio chakula chao. Tabia zao hazitofautiani na Eritrean .
mkuu mi najua ata lugha yao kwa asilimia 70%
amharic?
ikiwa ni feminine society, usithubutu. Utalea watoto wasio wako, kama ni feminine wana tabia kama watusi...akiwa katika danger days anamtafuta mtusi/mhabeshi mwenzake anamkaza mchana ili mimba ikiingia mchana mlango unafungwa. Siku mtoto akizaliwa anafanana naye wewe unajidanganya kuwa mama-mtusi/mhabeshi wana damu kali.
Uliza kwanza hilo among other things
Haaa haaa kuna wale wadai picha watakuja muda si mrefu bora uwawekee picha kabisa.