Acheni ushauri wa et Jamaal afanye uchunguzi hapo ni kuroga huyo fara Yani utunze toto la mtu arafu litiwe na mwingine khaaa ebu imagine Ile miguno anayotoa kwako kuna mwingine anakula bila hata sent tano ya bodaboda......broo fanya hicho nitakuzamini police
Nyie semeni tu hivi!! Kuna mitoto mijaa rahana ikija kwako na story zao za kutendwa unaona hapa hili limepitia msoto ngoja niishi nalo una invest mdaa ,pesa na vitu vya thamani kuliko kalivyo Ila sasa katakavyo kuja kukuvuruga ubongo utakaa ndani sikuu kadhaa ukibubujikwa na machoz huku...
Iseco(Issenye) mmoja hiyo nilimpiga kiranja wa chakula jiwe kisa aligomea msosi koz sikufata maji ya kupikia siku ya zamu yetu....Ila kudra zimwendee ticha DUDU kwa fimbo zake koz nilimaliza shule nikiwa kijana mwenye nidhamu nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.