Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Leo ni kilele cha sherehe na maenesho ya
Kimataifa ya wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.
Tazama picha na matukio mbalimbali yanayofanywa na Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimataifa ya wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.
Tazama picha na matukio mbalimbali yanayofanywa na Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Sent using Jamii Forums mobile app