Recent content by mititi

  1. M

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Manispaa ya Sumbawanga kwa sasa ina idadi kubwa ya watu,kitendo cha kuwa na eneo moja la kutoa pesa si sahihi.Nina hakika huduma inavyotolewa na usumbufu wanaopata wafanyakazi kama kungekuwa na ridhaa ya kujiunga na benki yoyote hakuna mtumishi ambaye angekubali mshahara wake upitie NMB tawi la...
  2. M

    Gazeti la Al-Huda lafanya uchochezi

    Unapokuwa umegubikwa na imani au mtazamo fulani bila kutaka kupanua wigo wa kufikiri ni hatari sana,watu wataendelea kulalamikia mfumo kristo pasipo kuhangaikia suala la elimu na kujibidisha ktk maisha.Nchi ambayo inatoa uhuru wa kuabudu ni vigumu kushinikiza kupata jambo kwa misingi ya...
  3. M

    Kilichoisukuma CHADEMA kufanya mkutano siku ya mkutano wa ACT-Wazalendo

    Aina ya uandishi wa mtu unaweza ukapelekea kubashiri level yake ya elimu.Safari bado ndefu kwa aina hii ya vijana.
  4. M

    Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge yawaadhibu wabunge 5 wa Upinzani

    Busara ilikuwa kuwaacha,kwa kukurupuka kuwaondoa bungeni ni kosa litakaloligharimu CCM.Wakitoka wataenda nje na kupata support zaidi
  5. M

    Pengo aongoza ibada ya Pasaka kitaifa

    Zamani Jamii iliaminishwa kwamba Dunia ni sayari iliyopekee katikati lakini Galileyo pekee alikataa uvumi huo na leo amejipatia umaarufu mkubwa tofauti na mawazo ya walio wengi.Simama siku zote ktk maamuzi yako.Acha watu wakushauri lakini wasiingilie uhuru wa maamuzi yako.
  6. M

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    R.I.P Captain
  7. M

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Maafisa mikopo ni shida,wanaendekeza rushwa kwa watumishi sana ili kupata mkopo kwa haraka.
  8. M

    Mkasa wa maisha yangu

    Nina imani baada ya wadau kuhakiki hicho ulichoandika tutajitoa kwa kidogo tulicho nacho kuhakikisha una piga shule kadri ya ukomo wa kichwa chako
  9. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Dunia ina kila aina ya watu,kuna watu wenzao wanapoangalia mbele wao watataka kuangalia nyuma,watu wanapopiga magoti wao wanataka kusimama.Hao ndio binadamu.
  10. M

    I need husband

    Nipo Mwanza, nami pia ni mtumishi wa gvt idara ya mipango.Dini ni mkristo na umri wangu ni 34.Endapo upo serious njoo Mwanza tupime mdudu kujua afya kisha kila mtu aione rangi halisi (tabia) ya mwenzake.
  11. M

    Katiba Mpya: NEC ya CCM yatoa tamko kuwa serikali 2 ndio msimamo wa chama!

    Najiuliza maswali yafuatayo nakosa jibu:-1.Hivi tumekaa na changamoto za muungano au kasoro ndogondogo kwa muda gani na kushindwa kupata suruhu ya pmj.2.Leo hii nchi hii ikagawanyika watabaki na aina gani ya muundo ktk nchi na aina gani ya nchi.Ni busara gani itatumika ktk kupata aina ya muundo...
  12. M

    Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

    Tunaomba wadau mtujuze kila hatua inayoendelea kwa maana simba ni kama fainali leo.
  13. M

    Mgomo wa wafanyabiashara sumbawanga mjini

    Hakuna serikali ambayo wananchi wake hawalipi kodi.Serikali isiyokusanya kodi ni serikali mfu.Muhimu ni kwa wadau wote,serikali na wafanyabiashara kukaa chini na kutatua tatizo.Kwa sasa hakuna sababu ya kuoneshana misuli kwani uchumi wa nchi unadidimia na kuwapa usumbufu wageni wanaofika...
  14. M

    Mtikila: Nitajiuzulu Bunge la Katiba na kufungua kesi Mahakama Kuu

    Leo mwenyekiti wa kamati ya sheria ndg William Ngereja ameongea jambo la maana sana kwamba,"wabunge wa katiba wa situmie muda mwingi kuongelea masuala ya muungano na kusahau mambo mengine ya msingi".Ni vizuri kwa kuzingatia uwakilishi ktk bunge kujadili masuala yatakayo kuwa na faida kwa miaka...
Back
Top Bottom