Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 301
I will marry you after 5 years...ya probation.
Naku-pm.
probation ndo shake well before use I mean kugegeda ama ? manake kuna kamsemo eti tunatafunatafuna tupa kule kaazi kweli
I will marry you after 5 years...ya probation.
Naku-pm.
Mmmmh. ok
Ogopa mayahaya maana wakisikia hayo wanakuja kwa spid....bebi bebi nyingii...Kila raher katika mafanikio ya mumeNi Christian naabudu Luthera, nina Degree 1 ya Industrial Relation, nimeajiriwa gvt sector CMA commission of Mediation and Arbitration nataka Husband Mcha Mungu.
Ogopa mayahaya maana
wakisikia hayo wanakuja kwa spid....bebi bebi nyingii...Kila raher
katika mafanikio ya mume
Yes I will if ua serious
Oh yeah,hatutupi kama ina utamu endelevu...lakini ikiwa ni kama muwa(sugar cane) basi twatafuna na kutema kapi!probation ndo shake well before use I mean kugegeda ama ? manake kuna kamsemo eti tunatafunatafuna tupa kule kaazi kweli
Ni Christian naabudu Luthera, nina Degree 1 ya Industrial Relation, nimeajiriwa gvt sector CMA commission of Mediation and Arbitration nataka Husband Mcha Mungu.
Hivi ni kweli kuwa ndoa zinahitajika kwa hali na mali kias hicho? Naona matangazo yanazidi ....... Kila la kheri bi dada
Wazo zuri sana hilo,ila ungeweka picha yako mkuu at least tukuone kisha uanze kupokea applications zetu.Uchague ni yupi unayemtaka kuwa mumeo.Natamani kuwa na familia umri wangu 26 kama upo serious, Pm
Ukitaka mume usiweke kigezo cha dini,age avina nafasi,mm nakutaka kikuoe nipo dar nipm
dah,yaani bahati hizi zinakuja baada ya mimi kuoa,mbona hazikuja kabla?
imefika sehemu wanawake wameanza kujitambua,hii ni baada ya wanaume kujitambua na kuanza kukwepa majukumu.Hivi ni kweli kuwa ndoa zinahitajika kwa hali na mali kias hicho? Naona matangazo yanazidi ....... Kila la kheri bi dada
Dinazarde we uko vizuri?Wanakujaaa
Nimesoma fasta ila baadae nikashtuka..nikushauri kama ulivyosema huna wazazi..pls pps pls pks pls dont get into trouble ndoa za siku hizi ni moto hakuna upendo wala nini si mwanamke si mwanamume siku hizi hakuna.anakuoa leo kesho michepuko kama kawa...unaolewa leo vidumu kibao..ukitaka kuishi kwa stress maisha yote get married..utanipa report baada ya miaka miwili
Oa tena