Kamari starehe yake! Wtz ndyo maana huwa tunafail mitihan sasa hapa habari za kamari zmetoka wap? Mtu unaulizwa unajbu vtu tofauti, Kwan mtu hawez chambua soka huku akiwa anaendelea Ku betty? Hapa pananifany
nitafakar upya maa a halisi ya great thinker inavyomaanisha huku. Zaid naona vilaza Tu
Utawajua Tu wakinga n kina Nan, waulize wahindi Wako wapo sasa kariakoo! Chaga endeleen kufkir karibu cc tunafikiria mbal zaid yenu,mbele yenu nyuma yetu
Sasa olesaidimu humtendei haki, wew kama unabisha Toa evidence ya watu ambao n zaid Yao maana kakende kaweka anaowajua sasa wew usiishie Tu kukataa wkama kakosea bas wew unslijua jibu type jibi! Wengne tucojua
Gud advice by a wise man! Thanx Bt vijana PIA zaid tujiangalie na kuchunga afya zetu la mhm SNA maana vijana unakuta tunafight but at final tunafanikiwa lkn ndyo afya inakuwa mgogoro mtu anakufa before hata haha enjoy alichohangaikia kwa nguvu zake zote na kwa muda wote
Mtoa maada cjui amesoma na kuelewa mpaka darasa la ngap! Maana heading na alichoandika ndan Hamna relation kbsa, kawabadilsha VP? Wap na Ln? Maoni ya pengo cyo ya kanisa katoliki na ictoshe mwenyekiti WA binge kaonana na pengo na sheikh mkuu muft ili watoe ushaur kwa yale yanayotokea bungen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.