Recent content by missa

  1. missa

    Nahisi kuachana nae

    Kumzalisha moyo ulikuwa laini,kumuoa moyo umekuwa mgumu,punguza uvulana kuwa mwanaume.maneno yako yamekaa kivulana vulana tuuuu!
  2. missa

    Waliofanya usaili DUCE, Sekretariati ya Ajira

    Wadau salam, Nauliza kwa wale waliofanya usaili DUCE wiki ya jana kwa kada mbalimbali,nimeskia kulikuwa na maswali ya research kwa wingi,je ni maswali gani yaliyokuwa yameulizwa? Masada tafadhali.
  3. missa

    Namtafuta mwanangu, alizaliwa mwaka 2002

    Et mama yake anaitwa lucy,et ni nesi!!!haya we kila cku na visa vya watoto!!yule mwingine uliyekuwa unamtafutia house girl utakayemlipa RAV4 ,keshakuwa tayari???
  4. missa

    Ni kitu gani hutakisahau ktk ulimwengu wa mapenzi?

    Niliacha kazi kwenda kumuuguza mama yangu,mchumba wangu akaniacha SBB nimeacha kazi akidai sitakuwa na future,wakati kabla ya hapo ye alikuwa hana kazi nilimvumilia mpaka alipopata.Niliumia sana na sikuamini lkn ndo ilikuwa hivyo.
  5. missa

    Naombeni ushauri ndugu zangu

    Naona unachezea shilingi chooni hivi hivi Kisa unaendekeza uvulana na utoto! Eti hana muonekano mzuri!!sasa uliwezaje kulala naye hadi kumpa mimba??halafu hivyo vilaki anavyokutumia kwa nini humrudishii mana ye hana muonekano mzuri!! Halafu wewe nani kakwambia kama una muonekano mzuri...
  6. missa

    Hii kali! wife kanipongeza kwa kuchepuka

    Utoto unakusumbua,ukikua utaacha!!
  7. missa

    Mchepuko ana biashara yake lakini bado anataka hela zangu

    Yaani unachekesha we we!!we umekwenda kwa lengo la kupata Ngozi nyeupe,sasa Ngozi nyeusi umeichukulia nini?we we huna focus,huna tofauti na anayekwenda kununua gari,sasa kafika yard kakosa gari basi akaamua kununua Bajaji huku moyoni anasikitika hakutaka Bajaji alitaka gari,by the way why can't...
  8. missa

    Mchepuko ana biashara yake lakini bado anataka hela zangu

    Unataka vya dezo!!hata aibu huoni?we hadhi yako dagaa KUKU wamkimbizia nini?
  9. missa

    Upande wa mchumba wangu kuna vichaa tisa, je nimuoe?

    Halafu je ungekuwa we ndo unatokea kwenye familia ya huyo msichana na watu wakakataa kuolewa na wewe eti Kisa tu kwenu kuna vichaa ungejiskiaje?jaribu kuvaa viatu vya huyo binti uone ungekua wewe ndo yeye halafu mchumba wako akakunyanyapaa kihivo ungejiskiaje? Mambo mengine mungu ndo anayajua...
  10. missa

    Kimenuka mke wa jamaa yangu nilimuweka kwenye whatsapp

    Ndio vizuri ugegedwe,utamuwekaje mke wa mwenzio kwenye profile bila ruhusa yake kwani ni mkeo?unaleta uzungu bongo??!!
  11. missa

    Wanawake pesa zenu huwa mnapeleka wapi?

    Mzuri wa nini?acha ubwege kuna wanawake wapiganaji wanajinunulia vitu vya thamani kwa nguvu zao,wanamiliki vitu vya thamani ikiwemo mijengo ya maana na magari makali wakati we unayejifanya kidume unazidi kuwa jeans Mpauko mtaani,acha kukariri kwamba wanawake wote wanaishi kwa kuhongwa!!
  12. missa

    Wanawake pesa zenu huwa mnapeleka wapi?

    Una uhakika na ulichoandika kuwa kila kitu wanawake wanachomiliki wanapewa na wanaume??au umejiskia tu kuandika!
Back
Top Bottom