Mchepuko ana biashara yake lakini bado anataka hela zangu

Mchepuko ana biashara yake lakini bado anataka hela zangu

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Wakuu natumaini hamjambo.

Wiki mbili tatu nilivua mchepuko pale Empire club, Arusha.mashallah yuko vizuri maana alishadate ngozi nyeupe wakamwachia mtaji, anafanya biashara yake mjini.

Cha ajabu ni kwambai,kila tukikutana iwe ni kwake au out lazima nilizwe misimbazi kadhaa, kwa aibu ninatoa huku nikijiuliza kwanini.

Nampenda ila shida ni kwamba how can i make it vise versa? au hata asiwe akinipiga mizinga.

Nawasilisha.
 
Kama hutaki kutoa hela achana naye na utuachie sisi tulio zoea kutoa
 
Hehehee ulijua umefika kitonga eee.....haya pambana sasa mtoto wa kiume acha kulialia
 
Wanawake ndio wako hivyo mkuu, Hata amiliki dunia nzima, na wewe mwanaume ukampa hela kidogo itakuwa kwake na thamani thana. Si kwamba ana dhiki au anataka kukufilisi au haoni hali yako, ni Uhitaji wake wa ndani na unachompa kinaladha tofauti kabisa na mabilioni yake alio nayo.

Mwingine yuko radhi akukabisdhi hayo maburungutu ili mradi tu umhudumie wewe. Its a longing/ pyschological need.

Point ya msingi hata ukimdate Zilionea/Billionea, unahitaji kumhudumia na tena umlambe ''Kalma'' mara moja moja akileta za kuleta. hahahahahahaaa.
 
just keep on loving those serendipitous moments that make your life interesting!
 
.... hicho cha ziada ulicho kosa kwa MKEO ndio unalipia !!!
 
Mkuu tabia ya nyuki hiyo.Kupenda kufyonza nectar bila kujali bustani inamwagiliwa na nani? Ukitaka free lunch basi utasubiri sana.
 
Wakuu natumaini hamjambo.

Wiki mbili tatu nilivua mchepuko pale Empire club, Arusha.mashallah yuko vizuri maana alishadate ngozi nyeupe wakamwachia mtaji, anafanya biashara yake mjini.

Cha ajabu ni kwambai,kila tukikutana iwe ni kwake au out lazima nilizwe misimbazi kadhaa, kwa aibu ninatoa huku nikijiuliza kwanini.

Nampenda ila shida ni kwamba how can i make it vise versa? au hata asiwe akinipiga mizinga.

Nawasilisha.

Ww lafa Kwel iv kuna cha bureee Kwel kwa dunia ya sasa!? Huna mkwanja achia wenzako wenye nazo...kumuona tu mtu hata hajakupa kiss mwanamme ushatoa lak 2 naul.....ha ha ha watakubebea soon
 
Unataka vya dezo!!hata aibu huoni?we hadhi yako dagaa KUKU wamkimbizia nini?
 
Unataka vya dezo!!hata aibu huoni?we hadhi yako dagaa KUKU wamkimbizia nini?


mkuu siwezi achia ngazi, ila natafuta way out ya yeye kutopiga mizinga...everything has a solution, right?
 
ndo walivyoumbwa hao, ila elewa utamu una gharama, hiyo vaisi vesa yako itakula kwako...unataka kuwa bwabwa eehh?
 
Wanawake ndio wako hivyo mkuu, Hata amiliki dunia nzima, na wewe mwanaume ukampa hela kidogo itakuwa kwake na thamani thana. Si kwamba ana dhiki au anataka kukufilisi au haoni hali yako, ni Uhitaji wake wa ndani na unachompa kinaladha tofauti kabisa na mabilioni yake alio nayo.

Mwingine yuko radhi akukabisdhi hayo maburungutu ili mradi tu umhudumie wewe. Its a longing/ pyschological need.

Point ya msingi hata ukimdate Zilionea/Billionea, unahitaji kumhudumia na tena umlambe ''Kalma'' mara moja moja akileta za kuleta. hahahahahahaaa.

Ni kweli mkuu..sasa kwa style hii mbona kasheshe, ina maaana mm niishie kubeba wale wa mitaani tu...wenye pesa zao kama hawa bado sitaambulia kitu, lazima na mm niwe nazo...maana hiyo ya kusema anaweza akanipa zake ili niwe namhudumia naiona kama movie vile....
 
Back
Top Bottom