Wadau habari zenu, nina ndugu yangu amepoteza passport sasa anahitaji kupewa nyingine ana safari next week hivyo inahitajika kwa haraka kidogo,ameshakwenda kwenye gazeti na polisi naomba kama kuna mtu anajua mtu anayeweza kumfanyia fasta atuunganishe naye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.