Vodacom leo mtamjua mteja mwenye hasira

Vodacom leo mtamjua mteja mwenye hasira

Ni tatizo. Nimesafiri kwenda mahali nikawa nimeweka kakifurushi ka-Airtel OMG mwezi mzima. Nimefika huko Airtel iko slow mbaya. Sina la kufanya imebidi niendelee na Vodacom. Ushindani kwenye hili soko si perfect.
Kwangu airtel wamekuwa almost perfect, hiccup moja tu ni usijaribu kuwakopa...pesa zitaliwa, wala hutaongea afu itabidi ulioe deni. Otherwise, hata nikienda mikoani airtel wana coverage kubwa...
 
Inawezekana hukuwa na credit, wakati huo huo data package ilikuwa active kwa hiyo ulivyoweka Tu kabla hata ya kujiunga data ikala 29sh za chap chap..yaweza kuwa sio VODA ni uelewa wako tu.

Nilihisi hivyo....Na nlivyojiunga mbona wakamalizia ile chenji wakati wakati bundle ilikuwa bado haijaexpire...!
 
Nilihisi hivyo....Na nlivyojiunga mbona wakamalizia ile chenji wakati wakati bundle ilikuwa bado haijaexpire...!
Hapo chacha.! Au kuna adverts umejiunga bila kujua, wao wanakata tu.. Unajus, tcra wamezibana hizi mobile networks kiasi kwamba na wao wakipata nafasi kama hizo wanaiba..!!!
 
M nlijua peke yangu, nw dayz cweki pesa naenda kwa muuza vocha ananinunulia kifurushi basi, maana ni shiiiida voda n wezi, majambazi na matapeli, nkiweka vocha ya 1000 ili nijiunge na internet naambiwa cwezi nkicheki salio limebaki 800, jaman huu wizi kwa voda unakera
 
Hapo chacha.! Au kuna adverts umejiunga bila kujua, wao wanakata tu.. Unajus, tcra wamezibana hizi mobile networks kiasi kwamba na wao wakipata nafasi kama hizo wanaiba..!!!

Yani sijajiunga kitu chochote...wameamua tu kuniibia!
Sijui nani atatutetea wanyonge...
 
Limekuwa tatizo kubwa Vodacom kutupora salio bila taarifa..hili swala lishaongelewa bungeni..binafsi nimeasirika mno na ukwapuaji huu usio na taarifa,tcra sijui wapo wapi..yani nchi hii imefanywa shamba la bibi,bado na sisi wananchi tuwe shamba la bibi!!!no no no,,nitahamia ttcl kwanza sasa hivi wana netw dhabiti
 
Nilihisi hivyo....Na nlivyojiunga mbona wakamalizia ile chenji wakati wakati bundle ilikuwa bado haijaexpire...!

Heheer 3G inakula vocha mi mwenyewe hivyo hivyo yaan ukiweka vocha ujiunge fasta la sivyo hukuti salio,sasa hivi nimeona nicheke ile ya mwezi kabisaaa
Nilikua nacheka ya wiki nimeona hainitoshii kila saa kuweka vocha nachoka
 
Utaratibu Wa kulazimishwa kujiunga na vifurushi so mzuri maana kuna wakati Salio linasoma ila muda ukifika tu wanapita nalo.Hili ni tatizo na Tcra wanalitambua lakini hatua haichukuliwi.
 
Heheer 3G inakula vocha mi mwenyewe hivyo hivyo yaan ukiweka vocha ujiunge fasta la sivyo hukuti salio,sasa hivi nimeona nicheke ile ya mwezi kabisaaa
Nilikua nacheka ya wiki nimeona hainitoshii kila saa kuweka vocha nachoka

Itabidi nijiunge kifurushi cha wiki au cha mwezi....nachowapendea voda wako faster kwenye internet...ila hayo makato unaweza kupata ushuunguu....
 
Voda nilishawahama kitambo sana. Nashukuru hata ndugu jamaa na marafiki zangu nilifanikiwa kuwashawishi wakatafta line za mitandao mingine na kila nikitaka kuwatafta nawatafta kwa mitandao yao mipya. Voda imekua kero. Poleni mlioko voda. Kazi ni kwenu.
 
Mimi hizi Hbari za Nipashe ndo zinanikela hata sijajiunga wananitumia tu

hata mimi waliniunganisha hii huduma bila kuomba nikawapigia simu wakaniambia nimeunganisha mwenyewe wakati sio toka siku hiyo sijaweka tena laini yao pesa. voda ni wezi
 
Hahahahaha
Kujitoa andika neno ONDOA VODACOM tuma kwenda TCRA
 
wanajifanya wanadhamini ligi kuu tanzania bara wakati uwezo hawana wanaishia kutukata hela zetu sisi wateja ili kufidia mapengo yao
 
Sasa nashindwa kuelewa air tel sio wezi naona kama 2 weeks mtandao ni shidaaaa sasa cjui mtandao wa kuhamia ni upi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom