ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,702
- 3,553
Mimi nilisema nikaonekana mjinga ... Ali Kiba ALIKAKODI WATU !!!
me nadhan isue ni kuwa kuwaandaa watu wazomee,bilaa kujali wamelipwa au laaa,kwani inawezekana kbs kuwaandaa na kutowalipa chochote!...it is possible kwani si iko hvo kwann sku za nyuma haiktokea,na hali ya kumlambanisha kiba na diamond haijaanza leo imekuwa ikifanyika kwa namna ya kivjomozi na sio leo tu
Nadhani clouds wanauelewa na barua waliyopata coz barua ilimzuia dvdoo kufanya shoo tarehe 18 na sisi tunavyojua tarehe hubadilika pindi itakapofika saa sita6 usiku na davido alipanda mida kama ya saa nane so Times fm kisheria wamepigwa chini bora watulie coz dvdooo alifanya shoo trh 19
Coaster 25 Tufanywe kila Coaster ilikuwa na watu 20 kwa hiyo 25*20=500 watu 500 hawa walikuwa wanalipa 15000 kila mtu watu 500 hapa wangelipa 7,500,000 hicho ni kiingilio haya tuseme aliwalipa kila mtu 20000 nje ya kiingilio maana yake watu mia tano walilipwa 10,000,000 jumlisha na za viingulio unapata mil 17.5
Ni kweli kiba ana hela kiasi hiki kwa ajili tu ya kuhonga watu wa kumzomea Diamond??
Ina maana na mimi nililipwa!
Manake hata mimi nilimzomea vizuri tu.
Mimi nilisema nikaonekana mjinga ... Ali Kiba ALIKAKODI WATU !!!
na katika hizo costa 20 hakuna hata mmoja liyekiri hadi sasa hivi? badala ya kuendela kuwa tetesi?
mimi pia nilizomea ila sikwenda na costa wala sikulipwa, na nazomea tena buuuuuuuuuuh oooooooh domo kubwa!!!!!!
#teamKIBA 4real
Nilitaka kusema huyo lakini wataiweza gharama yake???
Kwani nowdayz wizkid anataka dau la sh ngapi? Huyo ataletwA tu kama sio na times basi na wazee wa kusambaza upendo
Bado unaonekana vile vile......teh teh
Hahahaaaaa mbona hatukuoni kule kwenye special thread jamani???karibu mamii miss_jackie