Recent content by Miss Renee

  1. Miss Renee

    Pale mwanamke anaponogewa na penzi

    Unanifanyia makusudi
  2. Miss Renee

    Tukumbushane "table manners" mbovu

    Mnakula lnatokea jitu lina mafua linaanza kuyavuta ile sauti inakeraaa. Unataman umwambie akayatoe na asirudi mana n kama atarudi na uchafu
  3. Miss Renee

    Tabia zipi huzipendi kwa ndugu yako, mpenzi wako, rafiki yako au hata mzazi wako?

    Bi mkubwa wangu anaongea mno yaan mnooo. Naweza kupata mgeni kama yupo nitajitahidi aondoke mahala hapo atuache wenyewe tu maana sio muda ataanza kuongea asivyooulizwa na nikimuambia anakuja juu nakua mdogo tu. Kiukweli huwa nakereka sana na tabia ya kuzoea zoea watu hovyo nayo nagombana nae lkn...
  4. Miss Renee

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Niliweka kule juu kama hukuiona pole mana nshaitoa.
  5. Miss Renee

    Mapenzi yasipokuwa na Uhuru ni kero

    Humpendi ndio sababu.
  6. Miss Renee

    Nimempenda shemeji yangu

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Miss Renee

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Jaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote
Back
Top Bottom