Bi mkubwa wangu anaongea mno yaan mnooo. Naweza kupata mgeni kama yupo nitajitahidi aondoke mahala hapo atuache wenyewe tu maana sio muda ataanza kuongea asivyooulizwa na nikimuambia anakuja juu nakua mdogo tu. Kiukweli huwa nakereka sana na tabia ya kuzoea zoea watu hovyo nayo nagombana nae lkn...
Jaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.