Nimempenda shemeji yangu

Nimempenda shemeji yangu

Duh!kweli wabongo kwa povu mpo vizuri
Yote hayo yangu Ila nimeomba ushauri Ila sishangai ndo ushauri wa kibongo
 
Endelea kumpenda tuu mkuu..ikibidi mtie mimba kabisa!
Ili ukikua kua kdg akili ikukae sawa
 
Daah! kumbe nimeamini love doesn't ask why yaani shemeji yangu nimetokea kumpenda kutoka moyoni Ila sasa ndio mke wa kaka yangu ntafanyaje

Nifiche hisia niendelee kuumia. Au nimwambie nijue kama na yeye ana hisia kama zangu

Na Kama tukipendana tutaonesha picha gani kwa jamii

#Iam Zagarino
Watu kana wewe wanastahili kufa, kuishi kwako ni hasara tu
 
Daah! kumbe nimeamini love doesn't ask why yaani shemeji yangu nimetokea kumpenda kutoka moyoni Ila sasa ndio mke wa kaka yangu ntafanyaje

Nifiche hisia niendelee kuumia. Au nimwambie nijue kama na yeye ana hisia kama zangu

Na Kama tukipendana tutaonesha picha gani kwa jamii

#Iam Zagarino
Napitia pitia makabrasha kabla sijalala
 
Daah! kumbe nimeamini love doesn't ask why yaani shemeji yangu nimetokea kumpenda kutoka moyoni Ila sasa ndio mke wa kaka yangu ntafanyaje

Nifiche hisia niendelee kuumia. Au nimwambie nijue kama na yeye ana hisia kama zangu

Na Kama tukipendana tutaonesha picha gani kwa jamii

#Iam Zagarino
Aisee sikushauri kaka!

Time heals !Jitahidi kutafuta wakwako japo hutampata kama Huyo shemeji yako,lakini unaweza pata zaidi au pungufu yake!

Afu muda mwingine uoga huepusha mengi!
Muogope na heshimu hisia za kaka yako!
 
Hama hapo kwa kaka yako. Ndio matokeo ya kula chakula kizuri wakati kazi huna, akili yote inawaza upoloto tu. Ondoka hapo kabla hujaondolewa kwa fedheha

Mara paaap mtoa maada ni mdogo wake funzadume
Sijui nini kingempata🙉🙉🙉
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom