Inamaana umri huo na mali zote alizonazo kakosa wa kumuoa na mumzalisha hadi akuone wewe???
unafamilia tayari na unaona shimo mbele na bado unataka kutumbkiamo???
Mali tafuta na ukiwa na bidii utafanikiwa tu!
Wanasaidia sana sababu asilimia kubwa ya wanajamii inakula pale.
siku hizi kidogo wanajitahid usafi na pili inategemeana na walaji wa pale.
wengine wanafanya mazingira kuwa machaf kwani na wao wenyewe hawauon umuhim wa usafi kulingana na maisha na shughuli zao!
Unauliza jibu???
Hulion kosa linalosababisha usisamehewe na mkeo hadi unaulizia kwa wana jf???
Ungemfumania mkeo yawezekana angekuwa marehem kwa sasa...
kabla hujatenda jambo, kuwa mwepesi wa kulitafakari kwanza.
KATIKA NDOA WANAWAKE WANADHARAULIKA SANA.
Mkuu heshima yako tu ila ningetoa neno zito hapa...
Ukitafuta mbichi unategemea wife akae akuangalie tu au???
We ukitafuta hao wabichi yeye anatafutwa na age inayojua mapenzi ni nini na sio huo umri wa kudanganyika unao usemea wewe...kula pole pole na kimyakimya ila ujue unavyokula na wife...
Tuache utani mkuu,
Wewe hujawai kuchepuka?
Hivi vitu viangalie tu sema wanandoa waheshimiane tu na sio kuonyeshana wazi wazi kuwa unakula mzigo nje maana wanandoa kwa asilimia tisini wanachepuka.
Na hao wanawake wasiojiheshimu hawastahili kabisa katika jamii.
Hakuna watu wanaotunziana siri kama wanaume, Anaweza akaona na kuchora mchezo mzima ila hutokaa ukaiskia hiyo ila wanawake sasa duh...
huyo best wa mkeo alitakiwa kumuita mwenzake na kumuonya na kumkanya hizo tabia na sio kumchongea...
Kuwanyanyasa mabinti wa kazi ni kosa kubwa sana maana wanaweza hata kuwauweni nyinyi wote.
mshauri kabisaa aache hiyo tabia na ajirekebishe haraka sana.
Nirudi upande wako, kaka unakosea sana kutembea na best friend wa mkeo.
umeshaa mvunjia heshima yake kwa huyo best wake pakubwa sana...
Wao ni mwili mmoja pamoja na mchepuko wa mr. ambae ni best friend wa mrs. na si ajabu ukute anashare nae mambo ya nyumbn kwake lakin ndo hivyo, best anamsoma tu na kumchora since anamjua mme wake in and out.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.