Tukiwa outing anageuka bubu

Tukiwa outing anageuka bubu

Inaonekana unaapply sana mahusiano ya kifilipino ..!
Tafuna huyo bibie kwanza .,story baadae zitakuja automatically ..!
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

Afadhali umempa maujanja lol
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

hahaha da nimecheka sana, issue ya escrow hata rais kumbe haijui halafu jamaa anamtupia mtoto maswali magumu hivo...
 
Hivi wadau mkiwa date ni lazima watu muongelee mapenzi mwanzo mwisho?Au kwenye date kama hii ambapo mpenzi anakaa kimya mwanzo mwisho unafanyaje? Au hanipendi?
Unasema mkiwa outing 'haongei', je ni mazingira/wakati gani huwa 'anaongea'? Anapenda nini?

Inaweza kuwa anakupenda (ankutamani) kupindukia hivyo akikuona tu 'migenye' inampanda maradufu na 'kumpalalaizi' mpaka anashindwa kuongea. Labda ukimtoa out anafikiria unaenda "kumpa", sasa wewe unaishia kumnywesha misoda na kumpigia mistori ya escrow!
 
Mkuu unaendaje Date na "Mtoto" unategemea nini?? Kuna mtoto anajua Escrow&Co ..?? umeshaona tatizo lilipo.!!!! haahaha Muulize mambo ya Tom&Jerry Ben10 dexta N.k uone kama hajui......!!!!

Hahahahaaaaa
umeniua....
teh teh teh....
Ni shidaaa
 
jaribu kuwa mbunifu kaka we vip eti escrow kwahyo hyo dating yenu mnaendaga bungeni au??
kuna mambo mengi ya kujadili esp yanayohusu mahusiano yenu sasa hayo mambo tena ya maiwedha duu!! huenda anakushangaa kulingana na topics zako ndo mana anaamua kukaa kimya!!
 
We jamaa vipi?

"eti bebi,fedha za escrow ni za umma au za IPTL?"

Kuku wa kienyeji unataka kumfuga kisasa?

Mahusiano yenu yana muda gani?
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

Number 3,,,, nimecheka saaaana. The truth
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax


You said it all acronomy
 
Last edited by a moderator:
Bro next time jaribu Nkurunziza, huyo Mkurunzinza nadhani wengi hapa pia hawamfahamu.

Btw, ukute alisoma thread yako ile uliyosema umemfundisha mtoto wa watu mchezo mchafu halafu unataka kummwaga uoe mwingine. Huwezi jua man.
 
Wewe inaonekana muongeaji mnooooo wasichana wengi hawapendezwi nayo iyo
Ongea inapobidi nasio kila kitu na kila mada wajua wewe inachosha na kukeraaaaa
 
Back
Top Bottom