inawezekana mtoa mada ni mmoja wa hao unaowasema?!!
Viashiria vinasema tofauti mkuu.. sina ujasiri wa kumweka kwenye kundi hili
inawezekana mtoa mada ni mmoja wa hao unaowasema?!!
Viashiria vinasema tofauti mkuu.. sina ujasiri wa kumweka kwenye kundi hili
jibu lako liko wazi.
......Aha ha ha ha!! Kwahiyo akianza huduma ya uzazi wa mpango hatakuwa omba omba au umalaya hutokana na wanafunzi wa vyuo kukosa huduma ya uzazi wa mpango? very funny!!.
Nilitegemea kuona majibu ya aina hiyo kutokana na kutaja shughuli wa watu (Uma-laya), imekugusa!!
Ila asante kwa ushauri.
We pia kwanini usitumie lugha moja "post" ni kihindi icho,,,kila mtu ana uhuru wakuandika lugha yeyote ilimradi anauhakika inasomeka na kueleweka na wengi,,,kama vp ndo uchkue ela ya tuition
Kumbe una kichwa kigumu hivyo? Huyo mwanao hata akimaliza kidato cha nne utoe sada ya shukurani, utaishia hivyo hivyo kuwatukana wanachuo.
Na kuhusu umalaya kwangu inategemea na tafsiri yako ila anaenihusu anajua kuwa mkewe ni zaidi ya malaya.
Una lingine??