Anataka azae nae watoto 3 tu

Anataka azae nae watoto 3 tu

Nimekwambia upate kibali kutoka meza Kuu, Mkuu akikuruhusu uzae na mie kipingamizi kingine ni kipi...?
Kazi kwako

meza kuu ndio ipi hiyo na huyo mkuu ni yupi niunganishe nae
 
Inamaana umri huo na mali zote alizonazo kakosa wa kumuoa na mumzalisha hadi akuone wewe???
unafamilia tayari na unaona shimo mbele na bado unataka kutumbkiamo???
Mali tafuta na ukiwa na bidii utafanikiwa tu!
 
meza kuu ndio ipi hiyo na huyo mkuu ni yupi niunganishe nae

Wee tangaza humu ''jamanii Mkuu wa Kasie popote ulipo naomba kibali cha .........................'' Kazi kwako.
Atakuja tuu kukujibu au ataku PM.
All the best.
 
Sasa tumshauri rafiki yako au tukushauri wewe?

Mimi nakushauri acha kutazama watu nje na kuwa judge wana hiki na kile...

umasikini na utajiri ni vitu complex kuliko vinavyo onekana kwa macho
Afadhali umemshauri vizuri, hivi kwa maisha ya sasa "wamemwachia nyumba 4 na costa 3 na prado moja" huu ni utajiri au bado ni mtafutaji tu.
 
namba ya gari?gari lipi kati ya hizo coaster na hiyo prado

Nimekuomba wewe izo namba mkuu??
Au wewe ni P.A wa mleta thread??
Ama ni Legal Representative wake??
Ama una power of attorney kuperfom task in his place??
Basi naomba namba yako wewe,ya Chupi,Bikini au Thong.
 
Miaka 34 hiyo mtoto akimaliza Chuo anakuwa yatima tayari.
 
Back
Top Bottom