Kwanini mke wangu hataki kunisamehe?

Kwanini mke wangu hataki kunisamehe?

Hakuna lililokubwa lisilostahili msamaha,endelea kumpa muda nae ataendelea kujitafakari. Huyo ni mkeo tu,atarudi baada ya kupata utulivu wamoyo
 
Unauliza kosa gani usilosamahewa,ivi ungemfumania wewe na mdogo wako au mtoto wa babako mkubwa ungemsamehe au ungemuita majina yote ya kashfa? jambo usiloliweza kulistahmilia usimfanyie mwenzio, na kama wewe mwanmme ume rubuniwa na mwanammke umebakia nini tena? mwanamke pia anamoyo yani huyo mwanamke kama yuko akilini mwangu mimi na watoto pia nawambia babaenu alikufa zamani sana wakati mnamiaka miwili... yani mimi nachukia wanaume kama wewe
yani umekosa kote huko nje mpaka sister wake?
 
Massage imekuponza. Pole ndugu yangu mabinti wa siku hizi kaa nao mbali wana mitego sana
 
Unauliza jibu???
Hulion kosa linalosababisha usisamehewe na mkeo hadi unaulizia kwa wana jf???
Ungemfumania mkeo yawezekana angekuwa marehem kwa sasa...
kabla hujatenda jambo, kuwa mwepesi wa kulitafakari kwanza.
KATIKA NDOA WANAWAKE WANADHARAULIKA SANA.
 
Mfyuuuuuuuuuuu
Tena shukuru hajakusamehe akaondoka....

Mwingine angekuwa kwenye mjengo wa serikali wakati wewe unaliwa na funza. ..
 
Unauliza kosa gani usilosamahewa,ivi ungemfumania wewe na mdogo wako au mtoto wa babako mkubwa ungemsamehe au ungemuita majina yote ya kashfa? jambo usiloliweza kulistahmilia usimfanyie mwenzio, na kama wewe mwanmme ume rubuniwa na mwanammke umebakia nini tena? mwanamke pia anamoyo yani huyo mwanamke kama yuko akilini mwangu mimi na watoto pia nawambia babaenu alikufa zamani sana wakati mnamiaka miwili... yani mimi nachukia wanaume kama wewe
yani umekosa kote huko nje mpaka sister wake?

Mh! Hapo kwenye red ni noma sana.
 
Uuùuuuuuuhhhhhhhhh hhhhhh shabash hakika nisingekusamehe na hakika ungeanza kuondoka wewe na si mimi na ili kukukomesha kabisa ningetafuta mtu nibebe mimba kabisa ili uamini it's over hakuna dhambi km kutembea na ndugu yangu heri ungetafuta changudoa over🙌
 
Try to wear this shoes ivi ingekua ni yeye?ungesamehe? Seeing is beliving hakuna jambo linaumiza kama kuona tena for the rest of life sitotaka kukuona kafilie mbali watakuja waliopata live jambo hili
 
Umevurugwa mkuu maana unaomba msamaha wkt ht kosa ulilofanya hujui uzito wake?mkeo angegegedwa na mdogo wako ungesamehe kirahc?
 
Hata mimi nisingekusamehe,, for sure
Na pengine hujui moyo wa mwanamke akisha give up unavyokuwa,,,
 
hajakusamehe ila kakaa mbali nawe unalalama ivo. yaan alitakiwa akuletee vurugu ambazo ungeshindwa kutembea maisha yako yote… nyambafu
 
Kukusamehe sio lazima arudiane na wewe kwahiyo acha kulalama kuhusu kutokusamehewa. Inawezekana kabisa huko aliko ameshakusamehe na ndio maana hajishughulishi na wewe. Mara nyingi mtu akiwa hajasamehe/amejaa hasira anakuwa mkorofi sana ila ukiona mtu umemkosea na kajikalia kimya wewe ndio unahaha jua amkusamehe na ana amani , wewe ndo umebaki kutapatapa.

Ushaur wangu : muache dada wa watu aishi maisha yake kwa amani. Heshimu maamuzi yake. Acha kumsumbua na kutangaza situation mlonayo kila mahali kama ulivyoenda kwa boss wake , unamfanya awe uncomfortable mbele ya watu ambao anawaheshimu/wanamuheshimu. Na kwa kitendo kama hicho unazidi kumchefua tu. Alafu NEXT TIME DANGANYIKA NA KITU CHA MAANA ZAIDI YA MASSAGE, USIJIRAHISI KIASI HICHO!!!!
 
Tafsiri ya msamaha siyo lazima mrudiane,muhimu akupe au akutamkie neno amekusamehe ila siyo lazima urudiane nae...
 
umemkosea sana kaka,chaguo ni lake hata hivyo!!!wanawake sio vizuri kukaa nao faragha abadani,hawana nguvu lakini wana nguvu za ajabu
 
Muombe MUNGU akusamehe,,then jisamehe mwenyewe then change namna unavyoishi umrudie MUNGU uanze kusali daily ukimwomba MUNGU amlinde mkeo na amrudishe nyumbani.Baada ya mda MUNGU atakupa idea sahihi ya kuweza kumshawishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom