Recent content by miss mj

  1. M

    JamiiForums Tanzania Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

    Mwaka wa neema kwa wakulima... Korosho zimekubali na bei Alhamdulillah
  2. M

    JamiiForums Tanzania Lijue eneo lenye makaburi mengi zaidi duniani

    Hakika huwezi kuwa na majibu.. inahitaji uwe punguni wa kutosha ili uwe na majibu ya Yale maswali
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Finally
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

    Dooh last last week mmewasakama watu wa Mbea na Mbea Yao.. Leo wa daslam tumefikiwa [emoji24][emoji24].. tukatafute Chaka Gani Yallab tukajifiche
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watoto wadogo ndani ya hijab

    Hata maana ya hijab yenyewe hujui kazi kukurupuka tu... Ovyoo
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya Division ZERO 2023

    Watoto 1033 kwa darasa sio kwel... Unafundishaje watoto wote hao..??
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilighairi ndoa baada ya baba mkwe kunisingizia nimemuibia elfu sabini

    The storyteller kwenye ubora wake..
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

    Muarabu wap... Myahudi huyo... Furaha yake inategemea kudhalilishwa kwa Iman nyingne
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

    We jamaa sjawai kukuelewa na sitakaa nikuelewe... Yani Kila uchwao kufungua thread za kusababisha waislam na dini yao kutukanwa... Uko juu hauko sawa nadhan... Mkatoliki gani wewe una mambo ya kiwaki hivi... Unavyotumia na hiyo username ya Juma bas vichwa panzi wote wanaunga wakidhani ni...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

    Mkuu tukupe miaka 5 tu au tukuongezee kabisa iwe 10 alafu urudi hapa utuambie waislam wamebaki wangap Dar.. Mnapenda kushabikia upuuzi nyinyi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Rombo: Mchungaji ashikiliwa kwa kumbaka muumini

    Mzee mbona hasira hapa tunazungumzia mchungaji.. ni mchungaji aliye ***** kondoo sio hao jamaa as u say... Tujitaid kufocus na topic
  12. M

    JamiiForums Tanzania Rombo: Mchungaji ashikiliwa kwa kumbaka muumini

    Mkuu hatujafurahi hata... Kwanza hii habar sio ya leo.. au ndo Kwanza unaiona..?? Alaf si umesoma comments mpaka hapo ulipofika.. umeona Kuna muislam amefurahia...? Ingekua nyinyi sasa hahaha I bet tungekua page ya 100 sasa mkishindana kukashifu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ofisi za RITA Temeke zipo wapi?

    Rita wapo Office za mkuu wa wilaya ya temeke.. opp na Taifa..
  14. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dadi ya siku za mapumziko katika sikukuu za Idi

    Eid El fitri Ni siku mbili na adha Ni siku moja..
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli wowote katika aina hii ya utapeli?

    Ilinitokea pia posta.. ety nimuelekeze kituo Cha watoto yatima na nlikua nakijua Kiko temeke nkamwambia panda gar za temeke.. ghafla jamaa mwingine huyo anauliza shida Nini kwan..? akaelekezwa na yule jamaa wa Kwanza tukaanza kubishana Sana me nawaambia hapo posta sjawai kuskia iko kituo jamaa...
Back
Top Bottom