Rombo: Mchungaji ashikiliwa kwa kumbaka muumini

Rombo: Mchungaji ashikiliwa kwa kumbaka muumini

Mkuu hatujafurahi hata... Kwanza hii habar sio ya leo.. au ndo Kwanza unaiona..?? Alaf si umesoma comments mpaka hapo ulipofika.. umeona Kuna muislam amefurahia...? Ingekua nyinyi sasa hahaha I bet tungekua page ya 100 sasa mkishindana kukashifu...
 
Mkuu boss wangu kwa wakamangi[emoji28]
Mkuu nilikuwepo kipindi hatashule ya kata Kelamfua haijajengwa kuna uwanja tu watoto wa huruma primary wanacheza cheza tu kwa nyuma ya huruma primary lile kanisa la mbao la dhehebu la morovian bado lipo ?
 
Hao jamaa wanawazaga kut*omba tu. Yaani wanajidanganya mbinguni ni danguro kila mtu anat*mba 24 hours
Mzee mbona hasira hapa tunazungumzia mchungaji.. ni mchungaji aliye ***** kondoo sio hao jamaa as u say... Tujitaid kufocus na topic
 
Sema simlaumu mwamba watoto wa kichaga wazuri sana ni vile tu wamepigwa pasi hata mimi wito na uzalendo ungenishinda
 
Vijikanisa SACOSS , mtu anaamka asubuhi anachukua kijibibilia anaingia mtaani anaanza kujifanya mchungaji, yani hawa jamaa wanakera sana , huwezi kuwa mtu wa dini bila kusoma shule, lazima uende shule ujue mambo , hawana tofauti na masanja mkandamizaji mchumia tumbo, najiulizaga sana hivi haku na utaratibu? ndiomaana Kagame aliamua bila degree hakuna kujiita sijui mtume sijui nani, bongo uhuru umepitiliza sana
 
Mbona hata huko kuna baadhi ya mapadre, maparoko ambao wamekuwa wakikutwa na tuhuma kama hizi, na wakati mwingine hadi kulawiti watoto wa kiume...
Mkuu au Mimi kipofu
Wapi kasupport
Emu soma hio sentensi vizuri sio kwa mhemuko inaashiria nini?

Sasa yeye ana maanisha nini hapo baada ya kupinga yeye ananasibisha na kile kinachofanyika kwa mlengo wa kwamba mboni wengine wanafanya sasa hio inamaanisha nini km sio kusapoti kinachofanyika?

Inamaana kwamba km wengine wanafanya kwa hio haitakiwi kupinga pale mwingine anatokea na kufanya Jambo km hilo au Mimi ni kipofu sioni?

Au wewe umeelewa nini hapo mkuu?
 
Mkuu au Mimi kipofu
Emu soma hio sentensi vizuri sio kwa mhemuko inaashiria nini?

Sasa yeye ana maanisha nini hapo baada ya kupinga yeye ananasibisha na kile kinachofanyika kwa mlengo wa kwamba mboni wengine wanafanya sasa hio inamaanisha nini km sio kusapoti kinachofanyika?

Inamaana kwamba km wengine wanafanya kwa hio haitakiwi kupinga pale mwingine anatokea na kufanya Jambo km hilo au Mimi ni kipofu sioni?

Au wewe umeelewa nini hapo mkuu?
Hiyo haimaanishi kusapoti mbona
 
Hiyo haimaanishi kusapoti mbona
Soma tena wewe unasoma kimhemko mkuu soma tena bado haujaona alipo-sapoti tu?

Kuna neno 'Mbona hata huko...' lisome tena alafu utapata picha

Kwa hio km huko wanatafuna watoto basi na huku kutafuna ni sawa tu au sio?

Ndio maana nikasema sentensi yake ina-sapoti soma na wewe
 
Mkuu nilikuwepo kipindi hatashule ya kata Kelamfua haijajengwa kuna uwanja tu watoto wa huruma primary wanacheza cheza tu kwa nyuma ya huruma primary lile kanisa la mbao la dhehebu la morovian bado lipo ?
Ha ha ha loh. Ulikua wafanya nn huko mkuu. Wilayani mambo ni fire. Huruma ipo kama kawaida. Ila me ziyo huko wilayani. Kwetu juu juu kanisani huku. Kanisa hata sijui aisee... maana kule ni ukatoliki tu
 
Mchungaji katumia vizuri biblia hala kosa !

1 wakorintho 9:11 ikiwa sisi tuliwapandia vitu vya rohoni je ni neno kubwa tukivuna vitu vyenu vya mwilini kama wengine wanashiriki juu yenu sisi si zaidi?
 
Katika taarifa sipendi kuzisikia ni izi!! Hapo watu watajaza udini wakati aliyebaka ni mtu dini Haina tatizo huyo ni tamaa zake
 
Mchungaji alibanwa na Kiu aka amua kujitibia.

Sent using Jamii Forums mobile app


Wanadamu tuna vita na yeyeeee shetani
Wanadamu tuna vita na yee muovu shetani
Wanadamu tuna vita na yeee huyu shetani
Huyo huyo huyo huyo huyo huyoooo yaani muovu shetaniiiii
Eeeeeeeeghy!!!

Yeyeye yeye mwizi huzuni Baba
Yeyeye yeye mwizi huzuni Mama
Yeyeye yeye mwizi huzuni Kaka
Yeyeye yeye mwizi huzuni Dada weewe

Aaaaaiba watu wa MUNGU wanamfuata
AaaaUa watu wa MUNGU bila kujari
Aaaaaiba watu wa MUNGU wanamfuata
AaaaUa watu wa MUNGU bila kujari

Na Adamu alidanganywa kula Matunda
Na Eva alidanganywa kula Matunda
Na Adamu alidanganywa kula Matuundaa
Eva alidanganywa kula Matunda

Wanadamu tukatengwa na yee mwenyezi
Tukatengwa na yee MUNGU-mwenyezi
Wanadamu tukatengwa na yeee mwenyezi
Yeyeyeeee MUNGU-mwenyezi

Ndipo tukalaniwa huzuni Baba
Ndipo tukalaniwa huzuni Mama
Ndipo tukalaniwa huzuni Kaka
Ndipo tukalaniwa huzuni Dada wee

Na Aaaaaiba watu wa MUNGU wanamfuata
AaaaaUa watu wa MUNGU bila kujari
Aaaaaiba watu wa MUNGU wanamfuata
Aaaaaah Ua Aaaha bila kujari

Na Adamu alidanganywa kula Matunda
Eva alidanganywa kula Matunda
Na Adamu alidanganywa kula Matuuundaa
Eva alidanganywa kula Matunda

Ndugu yangu Njoo kwa YESU uokolewe
Ndugu yangu Njoo kwa YESU
Njoo uokolewe
Ndugu yangu Njoo kwa YESU uokolewe
Wewe weweee Njoo Uokolewe

Ipo siku utaachwa sisi tutaondoka
Ipo siku utaachwa sisi tutaondoka
Ipo siku utaachwa sisi tutaondoka
Wewe weweee we tutaondoka

Naa fasi tena bado ipo inakusubiri
Nafasi tena bado ipo inakusubiri
Naa fasi tena bado ipo inakusubiri
Wewe weweeee inakusubiri

Uuuuh Mhh Mhh Mhh
Uuuuh Mhh Mhh Mhh
Uuuuh Mhh Mhh Mhh
Uuuuh Mhh Mhh Mhh

Na Adamu alidanganywa kula Matunda
Na Eva alidanganywa kula Matunda
Na Adamu alidanganywa kula Matuuundaa
Eva alidanganywa kula Matunda

Uuuuh Mhh Mhh Mhh
Uuuuh Mhh Mhh Mhh

Credits: Elisha Tanu - Matunda
 
Takata kabisaaa... sisi warombo tuliamua kubaki njia kuu. Watarudi wenyewe parokiani. Kuna ndugu zangu wamefunguaga kanisa miaka na miaka ni walokole tena sijui ndo wamekua wachungaji wa kusomea kbs ila ni wachafu na wazinzi wakubwaaa.

Wakija mbele ya halaiki utasema ni malaika. Anyways, huwa hawaenjoy saana wakija kijijini... maana kila mtu anazungumzia Misa na siyo kwa nabii
Dada unaongea pumba gani HV usiki redioni makasis na maporoko wakilawiti vijana

Je ujasiki ndani ya mwezi mmoja mapadri wawili wAmeuawa kinyama mbeya n dar

HV lini mtaacha kuwa na imani na Hawa watu eti parokiani Nani kakuambia huko Ni salamaa bladifakeni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom