and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,113
- Thread starter
- #221
Pesa HaramuBiashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?
800k × 12 =?
Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike

, imagine wasingekua haram kwao, nahisi wangetoweka duniani
manake kila mtu angekua anaagiza kitimoto ya kutosha na wenzetu wanavojua kula vitu vitamu, ingepanda sana bei, bora tu jamani, MUSLIM Msile kitimoto ni haram jamani msiile mtatipwa motoni mkiila