Recent content by Miss Kyalla

  1. Miss Kyalla

    Nimeona hapa ndo kuna shida kwa vijana wengi Tanzania

    Naomba kazi ya ulinzi kwako boss... Ata nijipatie kuishi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Miss Kyalla

    Maswali yanayohitaji majibu baada ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda

    Kwaiyo hao wamarekani ndio kusema wanatupenda sana sisi watanzania? Hawa watu sio watu wazuri wakishaanza chokochoko ujue wanasababu zao binafsi watukome, watuache tuishi kama tulivyo kuliko yatakayotutokea tutakapoendelea kusikiliza figisu zao, Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Miss Kyalla

    Kama ningekuwa mimi ndio Rais ningetoa tamko leo leo

    Maana wanajiona miungu watu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Miss Kyalla

    Usiniue Mama Yangu

    Mwendelezo mkuu.... Au ndio mwisho Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Miss Kyalla

    Huwa unatumia kiasi gani cha pesa kwa siku?

    Hahahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Miss Kyalla

    Wosia kwa wanawake kwenye ndoa na mahusiano kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

    Sisi tusio kwenye ndoa tutajipendekezaje, kama ndio tushapigwa kibuti Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Miss Kyalla

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Kuwa house girl oysterbay au huko ununioo nilipwe vizur tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Miss Kyalla

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Wazungu mbona wanaongea wrong Swahili na hatuwacheki, why sisi tukikosea tunasemana? Tuwe wazalendo. By the way kama prof. Anaongea hivyo jee kwa hao tunaowatoa kwenye kiswahili miaka saba then miaka minne kwenye kingereza? Hii niadhabu. Tuchague lugha moja ya kutumia kufundishia bila hivyo...
  9. Miss Kyalla

    Kitete Hospitali Tabora wameniulia mtoto wangu kwa uzembe

    Pole sana!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Miss Kyalla

    Siku hizi wanawake wameongezeka sana kwenye ushabiki wa mpira wa miguu

    Nilitaka kuwa shabiki mzuri lakini ngoja niache kwanza kama ndio tunasomeka hivyo huko mtaani nisiharibu CV yangu ila wengine walishagundua wenzi wao ndio wanakopata michepuko so abiria chunga mzigo wako Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Miss Kyalla

    Suala la UKIMWI Njombe: Inahitajika hali ya dharura

    Hii hatari sana aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Miss Kyalla

    Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

    Dah anichukue na Mimi kama yupo huku jamani anilipe maana napenda sana kutangaza utalii nicheze na social media vizuri. Fursa kama izo tupewe na sisi wakawida jamani sio mastaa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Miss Kyalla

    Kushinda njaa na kulala njaa ni uzembe mkubwa sana

    Hahahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom