Wamemuwekea vikwazo Yusuph
Kweli kabisa...Ila ndio hivyo tena wewe huna mamlaka........Yaani ubalozi wa marekani hapa nchi ningewapa masaa 3 tuu wawe wameshafungasha virago vyao hapa nchini.
Rais kaambiwa aisende USA? Kwa sababu gani?Aliesema usije dar mjini kama hujaoga sasa yeye na yeye kaambiwa hata akioga marekani haingiikweli malipo ni hapahpa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo rais bali mtarajiwaaaaRais kaambiwa aisende USA? Kwa sababu gani?
Halafu baada ya hapo ukapitishe bakuli World Bank ya hao hao wamarekani!!Yaani ubalozi wa marekani hapa nchi ningewapa masaa 3 tuu wawe wameshafungasha virago vyao hapa nchini.
Wataka kushindana na super power country utaweza kweli ???Yaani ubalozi wa marekani hapa nchi ningewapa masaa 3 tuu wawe wameshafungasha virago vyao hapa nchini.
Alafu ARV utapata wapi wewe?Yaani ubalozi wa marekani hapa nchi ningewapa masaa 3 tuu wawe wameshafungasha virago vyao hapa nchini.