inawezekana.... kama una tabia ya kuwasoma watu na machale... kuna mtu nilimuhisi na nikajua ni Intel kutokana na tabia zake mtu mwngne angeona kawaida but nilitia Shaka uongeaji wake, kupotea potea ghafla na kufosi uchangamfu
inawezekana.... kama una tabia ya kuwasoma watu na machale... kuna mtu nilimuhisi na nikajua ni Intel kutokana na tabia zake mtu mwngne angeona kawaida but nilitia Shaka uongeaji wake, kupotea potea ghafla na kufosi uchangamfu
namfaham malikia wa Angola nzinga mbande alipigana na wareno kipindi kirefu akiongoza dola ya matamba, Angola ya sasa... alipambana na wareno kwa juhudi na Muda mrefu
law is a Profession ...mwanafunzi wa udsm na Sauti wote wanaweza wakawa the best Kama watasoma kwa bidii na kuwa wadadis katika taaluma yao... Haya mambo ya udsm is better than Nini sijui Ni ya Kitoto... nb:litakuja povu hapa mm Ni product ya udsm pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.