Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Hivi bado kuna kuteua teua tu?
Acha kudharau wazee wetu. Utazeeka pia, sidhani kama utafurahia dharau hizi. Ninyi ndio mnafanya vijana wa chama fulani kuonekana hawana uwezo wa kupambanua mambo na kuitwa majina ya ajabu. Adabu na heshima kwa wazee ni desturi nzuri ya kujivunia kwa kijana. Maana tunajua hapo kijana huyo anao uwezo wa kusikiliza na kuelewa anachoambiwa hivyo busara na hekima haikosekani kwake.Hivi kwa umri alionao Paul Kimiti bado anao uwezo wa kutafakari mambo ?
Ukweli usisemwe kisa eti utazeeka so what!! are we insane?Acha kudharau wazee wetu. Utazeeka pia, sidhani kama utafurahia dharau hizi. Ninyi ndio mnafanya vijana wa chama fulani kuonekana hawana uwezo wa kupambanua mambo na kuitwa majina ya ajabu. Adabu na heshima kwa wazee ni desturi nzuri ya kujivunia kwa kijana. Maana tunajua hapo kijana huyo anao uwezo wa kusikiliza na kuelewa anachoambiwa hivyo busara na hekima haikosekani kwake.
Mpaka hapa umekosa sifa hizo.
Iddi Mandi ni mhadhiri shule kuu ya sheria chuo kikuu cha Dar es salaamAjabu uteuzi wa awamu hii hakuna walimu wa UDSM!!
Hivi Kimiti ana umri gani mkuu , kama ilikuwa lazima ateuliwe yeye si wangemteua hata mjukuu wake basi ?Acha kudharau wazee wetu. Utazeeka pia, sidhani kama utafurahia dharau hizi. Ninyi ndio mnafanya vijana wa chama fulani kuonekana hawana uwezo wa kupambanua mambo na kuitwa majina ya ajabu. Adabu na heshima kwa wazee ni desturi nzuri ya kujivunia kwa kijana. Maana tunajua hapo kijana huyo anao uwezo wa kusikiliza na kuelewa anachoambiwa hivyo busara na hekima haikosekani kwake.
Mpaka hapa umekosa sifa hizo.
Unaonekana una chuki na chuo cha Taifa kisa umesoma RUCOAjabu uteuzi wa awamu hii hakuna walimu wa UDSM!!
Inategemea umahiri wa kumpamba mkulu... Majuzi nilimuona huyo mzee tbc kwny mahojiano ya mambo mbalimbali.. Alitoa majibu ya kulambalamba miguu ya jiwe pale alipoulizwa anavyoona utendaji wake kulinganisha na watanguliziHivi kwa umri alionao Paul Kimiti bado anao uwezo wa kutafakari mambo ? Hivi huko ccm hakuna watu wengine wanaoweza hizi kazi mpaka mtuletee hawa wanaohitaji mikongojo ?
Malipo ndio haya !Inategemea umahiri wa kumpamba mkulu... Majuzi nilimuona huyo mzee tbc kwny mahojiano ya mambo mbalimbali.. Alitoa majibu ya kulambalamba miguu ya jiwe pale alipoulizwa anavyoona utendaji wake kulinganisha na watangulizi
leo uteuzi hauna DOCTOR OF PHILOSOPHY