Hivi mbona mna fikra fupi namna hiyo. Unataka kumshukuru mungu kwa kipi haswa.
Imeandikwa mshukuru mungu kwa kila jambo, jambo la kifo mnaliona dogo sana. Issue sio wengine kufa bali ni Neema uliyoiapata kwa siku hiyo ndio ya kushukuru kwayo.
Unataka kusema kwakuwa watu wapo hospital wewe...
Hilo swala la kutoluweka akiba ni wengi wanalo hiyo inategemea na mazingira aliyokulia je yamemjenga katika kuweka ama kutumia kuna mtu anachokijua ni kupata na kutumia kwa kuwa kisaikolojia kajengeka kuwa kesho ntapata zaidi ya hiki so basically hakuna anachotuficha hiyo kitu ipo hata mm...
Seriously voda ni wezi tena walio kubuhu huo mchezo sio kwako tuu kuna mzee wangu mmoja kila akitia buku kwenye modem wanalamba asa sijui kwenye moderm kajiunga na nn kiukwel sheria ya online signature ipitishwe tu ili tuwasue hawa jamaa wanzingua mbaya
Hakuna huo ni uhanithi yaan kamvulia mtu mwingine na mm nije kuingia tena hapo hapo.
Na mbaya zaidi ni wakati wa njaa kali ndo kasepa! Hata aniroge imekula kwake. Wacha nife na ukwasi kama sikupata mwingine lakini siwezi kula matapishi ya mtu mwingine.
Nimng'ang'anie umekuwa mgodi nikiingia...
Sheria za customs hazizungumzii BL date bali the day assessed I mean the day goods were arrived. Cahecking the BL date and what if the vessel did not reach at the destination for instance it sank utasemaje kwa hilo.
What matters ni date of arrival au kwa urahis ni Manifest Submission.
Sent...
There is no way atathibitisha unless apate assessment before 1st July ambayo kama ina arrive 14th july haiwezekan kupatikana so kiukweli hana jinsi ni kujipanga tu kuumia na kodi mpya
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.