lovely love
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 344
- 300
Kama Tigo tu wezi kama nn
Inawezekana hukuwa na credit, wakati huo huo data package ilikuwa active kwa hiyo ulivyoweka Tu kabla hata ya kujiunga data ikala 29sh za chap chap..yaweza kuwa sio VODA ni uelewa wako tu.
Yaani siku hizi kila nikiweka hela lazima mnikate bila sababu wakati sijajiunga na huduma zenu uchuro za kutuibia pesa, hiyo haijaniuma sana.
Kilichoniuma zaidi, mmeanza kumkata mama yangu mzazi wakati hizo huduma hawezi kuzitumia kabisa, yeye ni kupiga kupokea na kutuma msg tu.
Cha ajabu sasa hivi akiweka jero tu, mnalitafuna lote hali inayomfanya akiweka aunge kifurushi cha hela yote wakati huo huo utafikiri hiyo vocha ameiiba.
Sasa nawaambia hivi, kutokana na ugumu ninaopata katika kupata hizo pesa, nawapa masaa 8 kutoka sasa muwe mmeshamaliza hilo tatizo ikiwa ni pamoja kurudisha hela mlioiba bila taarifa.
Namba yake ipo PM kwako.
Tutaheshimiana tu.
Vodacom Tanzania
Mimi hizi Hbari za Nipashe ndo zinanikela hata sijajiunga wananitumia tu
Yaani siku hizi kila nikiweka hela lazima mnikate bila sababu wakati sijajiunga na huduma zenu uchuro za kutuibia pesa, hiyo haijaniuma sana.
Kilichoniuma zaidi, mmeanza kumkata mama yangu mzazi wakati hizo huduma hawezi kuzitumia kabisa, yeye ni kupiga kupokea na kutuma msg tu.
Cha ajabu sasa hivi akiweka jero tu, mnalitafuna lote hali inayomfanya akiweka aunge kifurushi cha hela yote wakati huo huo utafikiri hiyo vocha ameiiba.
Sasa nawaambia hivi, kutokana na ugumu ninaopata katika kupata hizo pesa, nawapa masaa 8 kutoka sasa muwe mmeshamaliza hilo tatizo ikiwa ni pamoja kurudisha hela mlioiba bila taarifa.
Namba yake ipo PM kwako.
Tutaheshimiana tu.
Vodacom Tanzania
Inawezekana hukuwa na credit, wakati huo huo data package ilikuwa active kwa hiyo ulivyoweka Tu kabla hata ya kujiunga data ikala 29sh za chap chap..yaweza kuwa sio VODA ni uelewa wako tu.
Habari Mkiu, ahsante kwa kulifikisha hili kwetu, tumekujibu kupitia PM mkuu.Yaani siku hizi kila nikiweka hela lazima mnikate bila sababu wakati sijajiunga na huduma zenu uchuro za kutuibia pesa, hiyo haijaniuma sana.
Kilichoniuma zaidi, mmeanza kumkata mama yangu mzazi wakati hizo huduma hawezi kuzitumia kabisa, yeye ni kupiga kupokea na kutuma msg tu.
Cha ajabu sasa hivi akiweka jero tu, mnalitafuna lote hali inayomfanya akiweka aunge kifurushi cha hela yote wakati huo huo utafikiri hiyo vocha ameiiba.
Sasa nawaambia hivi, kutokana na ugumu ninaopata katika kupata hizo pesa, nawapa masaa 8 kutoka sasa muwe mmeshamaliza hilo tatizo ikiwa ni pamoja kurudisha hela mlioiba bila taarifa.
Namba yake ipo PM kwako.
Tutaheshimiana tu.
Vodacom Tanzania
Hawaujui ugoro,chibuku na ndoba hawa
Kujitoa tuma neno ONDOA au STOP kwenda namba 15501
Sasa nashindwa kuelewa air tel sio wezi naona kama 2 weeks mtandao ni shidaaaa sasa cjui mtandao wa kuhamia ni upi
Kama unatumia Smart Phone mtalaumu mitandao yote kwani huwa kuna running applications kama hukuweka kifurushi cha internet inatafuna fedha zako. Hivyo ni vema ukafunga data connection
Khaaaa...halafu nyie Vodacom Tanzania mna dharau mjue...kwa hiyo mmemuona Mkiu tu ndo mtu sisi wengine tunaolalamika hapa visiki...
Badala mje mjibu malalamiko mnakija kujishaua eti mshamjibu pm...khaaa....!!!!!????
Yaani siku hizi kila nikiweka hela lazima mnikate bila sababu wakati sijajiunga na huduma zenu uchuro za kutuibia pesa, hiyo haijaniuma sana.
Kilichoniuma zaidi, mmeanza kumkata mama yangu mzazi wakati hizo huduma hawezi kuzitumia kabisa, yeye ni kupiga kupokea na kutuma msg tu.
Cha ajabu sasa hivi akiweka jero tu, mnalitafuna lote hali inayomfanya akiweka aunge kifurushi cha hela yote wakati huo huo utafikiri hiyo vocha ameiiba.
Sasa nawaambia hivi, kutokana na ugumu ninaopata katika kupata hizo pesa, nawapa masaa 8 kutoka sasa muwe mmeshamaliza hilo tatizo ikiwa ni pamoja kurudisha hela mlioiba bila taarifa.
Namba yake ipo PM kwako.
Tutaheshimiana tu.
Vodacom Tanzania