Recent content by mismo como mismo

  1. M

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    teh teh mimi naogopa na kuchukia wanaume wanaopiga wanawake,ingekuwa Mimi ni Stacy angeondoka usiku huo na virago vyake
  2. M

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    napenda story zako Lara 1,hata Mimi naandika story sema ni mvivu sana,nahisi kipaji huenda kikapotea ,
  3. M

    Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

    hasa mwanamke ukiwa ni mzuri ,anaona utamsaliti,nilivumilia mengi ila aliponigeuza ngoma nilishindwa kuvumilia, hata hivo simlaumu kwani kwakua naye nilijifunza mengi,nashukuru mungu ilikuwa ni uchumba kwani ingekuwa ni ndoa ningekufa kijerumani tai shingoni.
  4. M

    Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

    mh Mimi aliwahi kunipiga ila sikuwa nakosa nilijisikia vibaya ni mchumba,duh nkawaza ikifika ndoa itakuaje??aliniipiga kama mtoto,sikupenda kwa kweli na si Mara. yake ya kwanza mapenzi yalipungua ,nikawa namuogopa ,nikawa najishtukia kila nkiwa naye cha kufanya nlirudi zangu kwetu,still bado...
  5. M

    Msaada: Ulimi unakama fangasi na koo kavu

    ####asante kwa ushauri nimeshajifungua ,nimepata baby boy!!asanteni wote
  6. M

    TCRA: Wanaoflash Simu Kufungwa Jela miaka 10 au faini isiyopungua Sh. milioni 30 au Vyote Viwili

    hii inaitwa asante magufuliukistaajabu ya kikwete njoo ushuhudie ya magufuli,asante baba tunyooshe tuu!!!!tumeipenda wenyewee CCM mbele kwa mbele
  7. M

    Tarime: Polisi wajeruhi wagonjwa watatu kwa risasi kituo cha afya Nyamongo

    ni kweli kulikuwa na watu wengi ila askari ndo wenye makosa wameua mtu kwa risasi sasa wakaenda hapo hospitali wakawa wanataka kuchukua mwili wa huyo maiti waupeleke kwenye mgodi waseme aliuliwa huko wakati ameuliwa na askari sasa ndugu wa marehemu ndo wakawa wameingilia kati,
  8. M

    Kumbukumbu za huzuni

    I miss my mama too,I was 13ulivoniacha ,nimemis tabasamu lako ,hukukubali nikose kitu,I miss u so much Emma,wangu,kuna saa nahisi nj ndoto huenda ukaamka
  9. M

    Msaada: Ulimi unakama fangasi na koo kavu

    Mimi ni mjamzito wa miezi tisa(9) ,ni mgeni hapa ,tatizo linalonisumbua ni kuhusu ulimi ,yani napata shida umetokea na kama fangasi ,kooni nasikia ukavu. Mwanzoni kabla sijajiunga nilikuwa nafatilia hili jukwaa na post za mzizi mkavu akawa amesema kuhusu maswala ya vitunguu swaumu ila...
Back
Top Bottom