Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

bila kuwapiga wakati mwingine hawaelewi

yaani anakutibua anakukeraaa, unamkwambia Nitakudunda wewe!! anasema Thubutu, niguse tudundane

Unaweza kupata Case asee usipojizuia...

Kuna siku bila Kichapo heavy hapaeleweki humo ndani....

piga kabisa
 
mh Mimi aliwahi kunipiga ila sikuwa nakosa nilijisikia vibaya ni mchumba,duh nkawaza ikifika ndoa itakuaje??aliniipiga kama mtoto,sikupenda kwa kweli na si Mara. yake ya kwanza mapenzi yalipungua ,nikawa namuogopa ,nikawa najishtukia kila nkiwa naye cha kufanya nlirudi zangu kwetu,still bado anawasiliana na Mimi anajipa hope kuwa nitarudi ila hapana tchaa si kwa kipigo kile ,nilihitaji mpenzi na mtu ambaye nitasikia amani nkiwa naye ,sikutaka mpenzi wangu kujitia baba Angu kipondo kila saa,au sijui kwa vile alikuwa ni mfupi ,wanaume wafupi hawajiaminigi
 
hasa mwanamke ukiwa ni mzuri ,anaona utamsaliti,nilivumilia mengi ila aliponigeuza ngoma nilishindwa kuvumilia, hata hivo simlaumu kwani kwakua naye nilijifunza mengi,nashukuru mungu ilikuwa ni uchumba kwani ingekuwa ni ndoa ningekufa kijerumani tai shingoni.
 
Sina ujasiri wa kupiga mwanamke, ni bora nimuache nitafute mwingine kuliko kumdunda aisee. Unampigaje mtu ambae baadae utamkumbatia na kumwambia unampenda na kumbusu halafu akuvulie nguo na kudo na wewe kwa mahaba? Naona kama ni uchizi fulani. Ni kazi sana kumpiga anaekuvulia nguo aisee!
 
huwa nafanya hivi mkuu...ila kuna siku nilitaka kumzaba kofi sijui nguvu gani ilinizuia nashukuru Mungu halikufika usoni...nahisi ningeua kabisa!!
Unadhani wanaoua wanaanzaje? Hawa viumbe ni wa kupuuza tu,unaweza kuzinduka siku moja ushafanya jambo la kijinga sana ukiendekeza mahaba ya kibondiabondia.
 
Asee mwanamke ambae sijampiga hata mara moja huyo simpendi.Kumpiga mpenzi wako inaimarisha bond ya mapenzi yenu.Ila usipige kama unaua nyoka au mara kwa mara kwa uonevu.Ukiona anawashwa kulia unampa makofi mawili matatu yakumfanya alie asafishe moyo wake..hata kama alikuwa ana mambo yake mengine ya kimaisha na machungu yake anapata pa kulilia yote na kuufanya moyo wake uwe mweupe na kifua chepesi...halaf akimaliza kulia unampa mahaba motomoto ya kitandani.Kesho yake anaamka mpya...!
Hayo ni mapenzi ya simba au wanadamu?
 
Kuna Vijanamke Vinakera Unajikuta Umevifanyia Technical Assault Aisee...
 
Agaa! nishagakulaga mabao yakutosha ctosahau abadan!
 
Kupigwa na mtoto wa kike hilo suala litakuwa gumu, ila pia kumpiga mpenzi wangu ni suala nisilolifikiria katika maisha yangu...
 
Namshukuru Mungu haijawahi kutokea na sioni hata dalili hizo...ila we thubutu yake kama angekuwa na element hizo
 
Nilishawahi kushushiwa bonge la kofi la kisogoni na mchumba wangu ilikuwa hivi aliingia dukani kununua vitu mimi akaniacha barabarani namsubiri ghafla akatokea mtoto wa shangazi ni kitambo tulikuwa hatujaonana tukasogea pembeni kwenye mti tukaanza maongezi aisee nilishitukia bonge la kofi kisogoni nilidata kwa muda aisee nilimpiga kofi moja tu la usoni mpaka akaniita baba nisamehe tulipofika ghetto ni hasira bahati nzuri mtoto wa shangazi akaingilia aisee ningeua mtu toka siku hiyo nikaapa sitapiga tena mwanamke hata aniudhi vipi
 
Back
Top Bottom