Samahani sijui dini yako lakini maandiko matakatifu Biblia yanasema hivi dhambio ya zinaa tunatakiwa kuikimbia sana sana. Hivyo mpokee mpeleke nyumbani mwambie wife na atakuelewa then mtafutie gesti karibu na home na mkabidhi wife huyo mgeni amshughulikie kama vile kumeet mahitaji yake...
NYAMLANI ni hakimu wa Mahakama ya Hakimu Kazi Kinondini leo ndo mnataka kumpitisha awe rais wa TFF JAMANI WACHENI FITINA. Haya wekeni sokam la bongo rehani
Nilikwisha sema Iddi na NYAMLANI WANA LAO... TULIMKATAA MHESHIMIWA NYAMLANI ambaeni HAKIMU MKAZI WA MAHAKAMA YA MKOA KINONDONI. Haiwezekani Hakimu Mwajiriwa wa serikali akawa Rais wa TFF. Haiwezekani tena etui wakasuka njama eti ndo awe mgombea pekee wa TFF uRAIS. iMEKULA KWAO NA FITINA AZAO
Hii ni mali ya adam kimbisa, inasemekana ni fisadi mkubwa sana, ni mwenyekiti ccm mkoa dodoma, ni mbunge bunge la afrika mashariki, ni kada wa ccm. Kwa taarifa za siku nyingi ni kwamba kile kiwanja kilikuwa cha kanisa lutheran
mwezinwenywe Januari 2013 kwahiyo ni baada ya kuona kachapika hana hela maisha magumu december effect ndo anajifanya kumkubalia mkaka wa watu safi sana kijana wanawake wajifunze sana
kwa habari ya udini muulize rais wako DR FAST JET, akishindwa kujibu muulize WAZIRI sokwe NAE AKIJIKANYAGA MUULIZE MJOMBAKE VICK kAMATA iNJINIA nDIKILO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.