Recent content by mishy bananga

  1. M

    Last seen ya Whatsapp ni majanga

    Hata yangu ilinusurika na iyo last seen
  2. M

    Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

    Na kweli na mapoda juu tunashindana kwenye vioo
  3. M

    Ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express?

    Uuuuuuuuh nyc kwa raha hizo ntalipanda sitaki hata kumjua mmiliki
  4. M

    Mzee wa upako ndani ya mkasi EATV

    Mmmmh yaonyesha kipindi kilikuwa hot,marudio lini na mie nihudhurie
  5. M

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Aaah na kweli customer care ni hekaheka nshajibiwaga karaha nikajuta kuwa vodacom
  6. M

    Picha ya leo ipe maneno bas

    Interesting
  7. M

    Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff asimuliwa jinsi mrembo huyo alivyokamatwa na madawa ya kulevya China

    Anaishi kifahar kila aina ya burudani na Nina hakika anawasikia kinyaa wale mateja wanaipiga debe vituoni na kubeba takataka na mizigo kwa ujira mdogo mno ambao anachangia wawe vile,kweli dunia haina huruma
Back
Top Bottom