Prof. Esron Munyanziza, the Coordinator of MSC program Agroforestry and Soil Management at the National University of Rwanda (NUR) passed away Monday 18th June 2012 in his residence in Taba-Huye District. He was found by his houseboy on Monday morning.
Munyanziza's house boy said he broke the...
Pale Milambo sec alikuwepo mwl KATONDOLA alikuwa anafundisha french, alikuwa anaishi ktk moja ya stoo za jikoni. Nimkimbizi na alikuwa akituthibitishia hilo, kwa sasa nasikia kafanikiwa sana maishani though sijui yupo wapi
Pale SUA alikuwepo profesor MUNYANZIZA akifundisha Plant Kingdom, baadae...
hapa ndipo tunapopata nafasi ya kuwapima wasomi wetu wenye kutumia akili kutafakari mambo na wale wenye kutumia matumbo kutafakari. kwa anayetumia akili vyema funzo litakuwa ni kwa watanzania na si kulenga kundi moja. Lakini kwa wanaotumia matumbo, kwao ushindi kwanza wananchi baadaye. Ni...
hali ikifikia hapa, mara nyingi akili ndogo huwa inatawala akili kubwa. na kwa wenye busara na hekima huwa wanamlilia Mungu kwani ndiye pekee wa kuwanusuru
hii picha imenitoa machozi, we have reached some stages of life, will this little boy reach the stage his father reach? au ndo police wamekatisha ndoto zake? so touching
Mtoto wa hayati Daud Mwangosi akimsalimia Dr. Slaa kwa uchungu alipofika kuwapa pole.
wa kwanza kulia mwenye kofia ya njano na suti ya kijivu na shati la bluu ni mzee SUMARI, mkuu wa washili wa koo zote za meru, anatoka ukoo wa Sumari na pia anaishi jirani kabisa na nyumbani kwa marehemu J. S. Sumari. Kazi kwa CHADEMA kupambana na nguvu ya washili
Swali la nyongeza,,,, SIOY...
kijana, kumbe ukiguswa unahaha kiasi hicho? lkn endelea vyema na kazi yako watanzania wamekutambua na sina shaka wakati wako ukifika utavua gamba ullilovaa, hofu yangu lisije likawa ni gamba la kitunguu
asalaleeeeee!!!!!!!!! cheap labours na wakati mwingi wananegotiate while they are hungry and serikali inakuwa imeiona future yao zaidi ya wao wanavyoiona. poooooooooooooor teachers riiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiich mps
duh, tatizo ni sourse au uhalali na uhalisia wa habari? jaribu kuwauliza walimu wakuthibitishie kama wamilipwa au hawajalipwa ndipo upost masaburi yako hapa.
:biggrin1: Mr Ng'hily hongera kwa comment zako, muhimu zaidi katika siasa za nchini hivi sasa ni kama vile tumeacha magugu na ngano vimee vyote then wakati wa mavuno tutatenganisha ngano na magugu "if all factors will remain coctant":biggrin1:
ni kweli yeye (RA) ni mwanasiasa makini, unadhani ilikuwa kazi rahisi kumweka jk mikononi mwake! hata jimboni kwake amewageuza wananchi kuwa kama vimbola hata akiwatukana wanamshangilia na kumuabudu kuliko hata jk. umakimi wake ni katika kuwarubuni watu na kuiibia nchi bila jasho:smash:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.