Vitu vingi vimerahishwa kwenye mambo ya jikoni kama rice cooker,tea maker,sandwich maker,lakini labda useme wawe wabunifu kwenye aina gani za misosi siziwe zile zile zina boa kwakweli,but pia ni mtu binafsi kujifunza na kuwa na hobby ya ishu za jikoni au upishi
mkuu unaweza kutoa elimu jinsi ya kutengeneza mabanda ya bata ya kisasa?kwasabu umezungumzia usafi kwenye ufugaji wake naamini hata banda lafaa kujengwa kisasa sio kama tulivyozoea kuejnga banda la bata uwani karibu na choo
Hizi scale za mishahara zinatofautiana kutokana na sector mfano TRA wana scale zao,TANROADS wana scale zao, TPA wana scale zao kwaio ni nzuri uangalie kwenye hiyo position yako wameweka scale gani ndo uanzie hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.