Recent content by miner

  1. M

    Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

    Hatuwezi hata kutengeneza tooth pick na tupo zaidi ya 60 millioni waachie wenye kuweza kufanya wafanye kwa niaba yetu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. M

    Public Debate on Land Grabbing in Tanzania

    Ni kweli hakuna problem lakin ulimsikia Mbunge wa Mpanda Mjini akisema bungeni wakati anachangia hoja ya Ofisi ya Wazir Mkuu kwamba hataki kuwa sehemu ya ufisadi huu kwa kuwapa wazungu ardhi kwa malipo ya Tshs 200 kwa eka kama kodi ya ardhi na Tshs 500 kwa eka kama ada kwa halmashauri ya wilaya...
  3. M

    NGELEJA ulilolianzinsha na KAKOBE ndo unalimalizia sasa

    Inakujaje tena ya shehe na uungu mbona unatoka ktk mada
  4. M

    Kulikoni CHADEMA baadhi ya wagombea majmboni kutorudisha fomu?!

    Labda TAKUKURU wanaweza kutusaidia kwa nini ?
  5. M

    Vyama vya upinzani na mgomo wa TUCTA

    Naona sentensi ulivyotaka iwe "Dr Slaa ana maoni gani?" Ni mtazamo wa chuki dhidi ya Chadema hauwezi kutenganisha Kiongozi na Chama.Slaa umemjua kwa sababu ya Chadema ni dhahiri hauwezi kuzungumzia harakati za Uhuru ukamtaja Nyerere bila TANU. Nyerere ni Tanu na TANU ni Nyerere vivyo hivyo Slaa...
  6. M

    Huyu ndiye Nicholas Mgaya - Katibu Mkuu TUCTA

    Unataka Cv za watu wa TUCTA za nini, kwa sababu unasema wangekua na jopo la watu kufanya tathimini kidogo wasingekuja na madai hayo na Wahadhiri wa Chuo Kikuu nao ilikuaje warudi tena darasani kudai kitu ambacho hakiwezekani ni tatizo kubwa hivi Watanzania tumerogwa na nani ?
  7. M

    Hivi Jakaya Mrisho Kikwete ni kweli alikuwa Tumaini lililorejea 2005?

    Umesema aliandika kitabu ? Hapana yalikua ni maombi ya kazi kwani msanii hutunzwa kwa wimbo mzuri
  8. M

    Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

    Wasomi wenyewe wanapotosha jamii na tafiti za kuwafurahisha watawala (REDET) huku wanajua unataraji nini ? Ni pale tu walalahoi watakapochoka na kusema sasa na si kwa porojo za ukumbini
  9. M

    Zitto Atufagilia CCM kwa utekelezaji wa ilani

    Sina uhakika kama ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma kama upo katika ilani ya CCM na umetamkwa bayana nakumbumka ilani ya Chadema ndio imetamka kuufanya mji wa dodoma kama kitovu cha elimu badala ya kuendeleza dhana ya makao makuu kutotekelezeka mwenye ilani karibu atusaidie
  10. M

    Blandes apata mpinzani

    Ahsante Tiba, wale wanaodhani elimu ni kigezo wanakosea sana hata jimbo la jirani Ngara kuna Profesa mambo ndio haya wanachotakiwa kujua wapiga kura ni kupata kiongozi ili mradi ajue kusoma na kuandika kama lilivyo hitajio la Katiba na si digrii maana wenye digrii wameisaliti nchi hii vya kutosha.
  11. M

    Na hawa nao jee ?

    Tumesikia habari ya mama Salma Kikwete ya kusomewa taarifa za maendeleo ya Mikoa na Wilaya na itifaki zake na hawa Makamba, Chiligati, Mkuchika na Kidawa viongozi wa sekretariati ya CCM kulipwa mishahara na marupurupu mengine kutoka katika Hazina ya Taifa ikoje ? Kama Makala analipwa na...
  12. M

    Sheria ya ubakaji...

    umewahi sikia ni kesi ngapi zipo mahakamani kuwa mwanaume kaendashtaki kama amebakwa?
  13. M

    Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

    Katika maelezo yako sikuona msisitizo wa moja kwa moja wa kuitaka CCJ ishirikiane na Chadema umetumia neno wapinzani na wapinzani si Chadema lakini ukona bora habari yako isomeke CCJ Washirikiane na Chadema kwa staili ileile ya magazeti yetu Zitto anasurika Kipigo kumbe ni wasafiri wengi nawe...
  14. M

    Sophia Simba: Sigombei ng'o

    Huyu vipi si angesema tu mimi tayari ni mbunge na waziri mtarajiwa tungemuelewa
Back
Top Bottom