Hatuwezi hata kutengeneza tooth pick na tupo zaidi ya 60 millioni waachie wenye kuweza kufanya wafanye kwa niaba yetu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni kweli hakuna problem lakin ulimsikia Mbunge wa Mpanda Mjini akisema bungeni wakati anachangia hoja ya Ofisi ya Wazir Mkuu kwamba hataki kuwa sehemu ya ufisadi huu kwa kuwapa wazungu ardhi kwa malipo ya Tshs 200 kwa eka kama kodi ya ardhi na Tshs 500 kwa eka kama ada kwa halmashauri ya wilaya...
Naona sentensi ulivyotaka iwe "Dr Slaa ana maoni gani?" Ni mtazamo wa chuki dhidi ya Chadema hauwezi kutenganisha Kiongozi na Chama.Slaa umemjua kwa sababu ya Chadema ni dhahiri hauwezi kuzungumzia harakati za Uhuru ukamtaja Nyerere bila TANU. Nyerere ni Tanu na TANU ni Nyerere vivyo hivyo Slaa...
Unataka Cv za watu wa TUCTA za nini, kwa sababu unasema wangekua na jopo la watu kufanya tathimini kidogo wasingekuja na madai hayo na Wahadhiri wa Chuo Kikuu nao ilikuaje warudi tena darasani kudai kitu ambacho hakiwezekani ni tatizo kubwa hivi Watanzania tumerogwa na nani ?
Wasomi wenyewe wanapotosha jamii na tafiti za kuwafurahisha watawala (REDET) huku wanajua unataraji nini ? Ni pale tu walalahoi watakapochoka na kusema sasa na si kwa porojo za ukumbini
Sina uhakika kama ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma kama upo katika ilani ya CCM na umetamkwa bayana nakumbumka ilani ya Chadema ndio imetamka kuufanya mji wa dodoma kama kitovu cha elimu badala ya kuendeleza dhana ya makao makuu kutotekelezeka mwenye ilani karibu atusaidie
Ahsante Tiba, wale wanaodhani elimu ni kigezo wanakosea sana hata jimbo la jirani Ngara kuna Profesa mambo ndio haya wanachotakiwa kujua wapiga kura ni kupata kiongozi ili mradi ajue kusoma na kuandika kama lilivyo hitajio la Katiba na si digrii maana wenye digrii wameisaliti nchi hii vya kutosha.
Tumesikia habari ya mama Salma Kikwete ya kusomewa taarifa za maendeleo ya Mikoa na Wilaya na itifaki zake na hawa Makamba, Chiligati, Mkuchika na Kidawa viongozi wa sekretariati ya CCM kulipwa mishahara na marupurupu mengine kutoka katika Hazina ya Taifa ikoje ?
Kama Makala analipwa na...
Katika maelezo yako sikuona msisitizo wa moja kwa moja wa kuitaka CCJ ishirikiane na Chadema umetumia neno wapinzani na wapinzani si Chadema lakini ukona bora habari yako isomeke CCJ Washirikiane na Chadema kwa staili ileile ya magazeti yetu Zitto anasurika Kipigo kumbe ni wasafiri wengi nawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.