Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau, leo asubuhi nilikuwa nikisikiliza BBC swahili ambapo walikumbushia sheria ya mwaka 1998 ya ubakaji ambapo mwanaume ndiye anahukumiwa... Sasa kutokana na mwanamke mmoja kufungwa kifungo cha miaka saba (7) huko Moshi, mkoani Kilimanjaro kwa kosa la "kumbaka" mvulana wa miaka 15, watetezi wa haki za binadamu na wanasheria wamejitokeza na kupendekeza sheria hiyo ibadilishwe na wanawake nao wahukumiwe coz ilikuwa inalenga kumwadhibu mwanaume tu ukijumlisha na ile ya hata kukonyeza...
Je, munaonaje hapo?
Je, munaonaje hapo?