Bright
Member
- Apr 9, 2010
- 67
- 0
Bwana Prince M. Bagenda aliandika kitabu chenye kichwa cha habari "Jakaya Mrisho Kikwete: Tumaini Lililorejea" na kuchapishwa Machi 2006. Nafikiri mwaka 2011 inabidi tena aandike kingine sasa sijui kichwa cha habari kitakuwaje. Tumaini kama huyu JK tuliwahi kuwa nalo kweli baada ya uhuru?