Recent content by Mine boy

  1. Mine boy

    Wenye dunia yao wakipanga ya kwao.

    Yaani hawa watoto wa mjakazi wa Abraham ni wajinga na wapuuzi kweli.
  2. Mine boy

    Majani ya Mvuje kiboko ya wachawi na majini, mfunge mwanao

    Huo mvuje sijui ndo taka taka za dampo gani? Mm watoto wangu wote wamezaliwa bila kufungwa uchafu wowote ule na wako poa tu mpaka sasa. Mambo mengine kama hayo ya mvuje ni upungufu wa imani tu.
  3. Mine boy

    Mke wangu ananiwekea masharti kwenye tendo la ndoa, nimechoka kuvumilia

    Dah hii noma sana yaani JF ukileta mchezo unakula ban na hom ukimwagia wazungu ndani unakula ban.
  4. Mine boy

    Msemo wa siku pita na wako hapa (Kibwagizo)

    1:Panua paja mkaju waja. 2:Kipara bila elimu ni sawa na kovu. 3:Ukubwa wa mkate kiboko yake chai. 4:Mchagua papuchi si mgegedaji na mdharau papuchi qummer ya mama yake.
  5. Mine boy

    Kudanga US style

    So we hoped in our car and went...!!!!!!!????? Hapa kidogo naona yai limekuwa viza
  6. Mine boy

    Je, wajua kuwa licha ya kuwa manukato pafyumu zina faida kadhaa kimwili ikiwa ni pamoja na tiba?

    Haswaaaa. Hapo umenena mkuu. Ila kuna madem sijui ni kipato au ushamba? Ukipishana nae utafikiri umepishana na kuli yaani harufu yake inaweza kuzalisha umeme.
  7. Mine boy

    CHINA: Bunge lapitisha kuondolewa kwa ukomo wa mihula ya Urais. Xi Jinping kutawala maisha

    Hapa kidogo kuna marekebisho. Malkia wa Uingereza yeye ni kiongozi wa nchi na yupo pale alipo kama moja ya alama za nchi hiyo. Lakini yeye si mhusika wa shughuli za serikali so waziri mkuu ndio kiongozi wa shuguli zote za serikali. Hivyo basi hata kama mfalme au malkia akiwa taahira shughuli za...
  8. Mine boy

    Wanawake: Uliza chochote kuhusu wanaume utajibiwa humu

    Kwa ufupi mkuu ni kwamba huwa kuna MASTER KEY hakuna MASTER PADLOCK
  9. Mine boy

    Wanawake: Uliza chochote kuhusu wanaume utajibiwa humu

    Ili umnase samaki kwenye ndoano lazima uweke chambo. So UONGO kwa mwanaume ni kama chambo kwenye ndoano. Hivyo basi ukishaliwa uongo unakwisha kwa sababu samaki ukishamvua hahitaji tena chambo kinachobaki ni kuendelea kuliwa pande zote.
  10. Mine boy

    Wanawake: Uliza chochote kuhusu wanaume utajibiwa humu

    Kwa maisha ya sasa hivi kumpata mwanaume mwenye upendo wa kweli ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo÷ 1: Nywele zenu bandia 2: Nyusi mnatinda then mnachora za bandia. 3: Rangi ya ngozi zenu bandia. 4: Kope mnaweka za bandia. 5: Rangi za midomo nazo bandia.(mnapaka lipstick badala ya kuacha rangi...
  11. Mine boy

    Kwa haya maneno ya Dr. Kimei, taasisi ya Urais ijitafakari

    Hivi wewe unaijua kanda ya ziwa vizuri? Kwa hiyo unaamini hiyo branch ya Chato ndo itawin market ya kanda ya ziwa? Ni bora uandike kitu unachokifahamu kuliko kukurupuka.
  12. Mine boy

    Dada na shemeji wanaoga pamoja na kuacha utelezi bafuni, kwa hali hii lazima niwatimue

    Huo utelezi ndo dada yako aliukanyaga akateleza mpaka Dar. Na alipofika huko ukawa ndo ulimbo ambao unamfanya aishi Dar. Halafu utelezi huo ndo unaotelezesha nguo zako toka Dar mpaka bushi kwenu huko Nyamatongo. Kwa hiyo acha kuuponda utelezi toka kwa shemeji yako.
Back
Top Bottom