Wadau nimekwama hapa kulogin kweny account nliotaka kuombea mkopoo.
Kifupi nimesahau password kwenye ufafanuzi jinsi ya kureset anipe maujanja jinsi ya kufanya.
kumbe tupo weng wenye changamoto kama hiii....aseeh nida wapunguze mlolongo wa kubadilisha jina.....nlienda juz ofc za nida walichonambia et
-nitafute hiyo deed poll
-niwaletee verfcation letter ya vyet vyang kutoka baraza la mitihani
-nkatoe tangazo la kiserkali la kubadili jina
ndo nije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.