Msaada wakubwa

Kapepo

JF-Expert Member
Aug 14, 2015
1,052
1,154
Habari wakuu naombeni ushauri katika hili jambo, ni hivi jina langu la mwisho katika taarifa za nida linatofautiana na taarifa zangu pamoja na vyeti vyangu nilivyo upload ajira portal , nimejaribu kupambana kwenda nida wanifanyie msaada kwenye hili tatizo linanisibu lakini nimeona msaada wao mdogo sana maana nimekamilisha nyaraka zote wanazohitaji kama deed poll pamoja na tangazo la gazeti ila niliporudi nida wanasema hawajui specific time watabadiri jina langu, nimehangaika sana lakini nimeona kushindwana na nida. Nakuja kwenu wadau wenye huzoefu wa hili nifanyaje ili niweze fanya mtihani utumishi bila vikwazo je kuna njia nyingine naweza kufuata nkapa msaada wa ku update ili jina langu toka nida? Nawasilisha naombeni ushauri wenu wakuu
 
Mkuu kaape (affidavit form) Kwa ofisi ya mwanasheria wa halmashauri ukitaka majina yote yatambuliwe kuwa ni yako

Gharama ni 50,000/= (hiki kina nguvu)

Pia unaweza kwenda mahakama ya mwanzo utalipia gharama around 10,000/=
 
Mkuu kaape (affidavit form) Kwa ofisi ya mwanasheria wa halmashauri ukitaka majina yote yatambuliwe kuwa ni yako

Gharama ni 50,000/= (hiki kina nguvu)

Pia unaweza kwenda mahakama ya mwanzo utalipia gharama around 10,000/=

So niwe nayo tu hiyo imaweza kuwa msaada kwangu!
 
Kwenye majina hautumii affidavit hyo dead poll uliyonayo inatosha kama ili ufanye lazma uwe na kitambulisho waonyeshe hyo deed poll then endelea kushughulikia nida. Mama angu ilimpata hii ya Kitambulisho kuwa na jina tofaut na nyaraka zingine aliangaika Sana na nida n wasumbuf haswa ikabid atafute mtu tena boss cha ajab haikuchukua wik akapata kitambulisho.
 
Kwenye majina hautumii affidavit hyo dead poll uliyonayo inatosha kama ili ufanye lazma uwe na kitambulisho waonyeshe hyo deed poll then endelea kushughulikia nida. Mama angu ilimpata hii ya Kitambulisho kuwa na jina tofaut na nyaraka zingine aliangaika Sana na nida n wasumbuf haswa ikabid atafute mtu tena boss cha ajab haikuchukua wik akapata kitambulisho.

Sawa mkuu ntafanya ivyo so nikitumia deed poll naweza ruhusiwa kuingia kwenye mtihani bila tatizo
 
deed poll unaipata kwa hakim au wakil nisaidien kwa hiloo ili nkitoka om nijuee naenda kwa nan
Kwa nnavofahamu deed poll znapatkana ofisi za ardhi za mkoa, kwa upande wa wasajili kuna wanasheria wanahusika na hayo mambo. Hembu anzia huko
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom