Kwenu mliosoma Mzumbe University Main Campus.

Kwenu mliosoma Mzumbe University Main Campus.

Fungarakwaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2023
Posts
1,907
Reaction score
4,720
Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...

Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni mkurugenzi wa sheria wizara ya elimu. Je ni kweli?
 
Mbona wengi TU wamepanda hasa wale waliokuwa na bidii ya kutafuta zaidi labda Itika ndio bado yuko pale
 
Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...

Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni mkurugenzi wa sheria wizara ya elimu. Je ni kweli?
Oyugi nae yupo wapi?
 
Back
Top Bottom