Kwenu mliosoma Mzumbe University Main Campus.

Kwenu mliosoma Mzumbe University Main Campus.

Katkit

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2023
Posts
1,907
Reaction score
4,721
Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...

Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni mkurugenzi wa sheria wizara ya elimu. Je ni kweli?
 
its truee amepanda cheo toka mwaka janaa
Aisee, sema yule mwamba ni hard worker kwelikweli, alikua anajitoa sana, muulize chochote kuhusu chuo iwe wtsp au insta lazima akujibu ipasavyo
 
Mbona wengi TU wamepanda hasa wale waliokuwa na bidii ya kutafuta zaidi labda Itika ndio bado yuko pale
 
Mbona wengi TU wamepanda hasa wale waliokuwa na bidii ya kutafuta zaidi labda Itika ndio bado yuko pale
Prof. Itika sijui ana shida gani?, yule mzee PPP imekaa mahala pake
 
Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...

Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni mkurugenzi wa sheria wizara ya elimu. Je ni kweli?
Oyugi nae yupo wapi?
 
Back
Top Bottom