Profesa Itika bado yupo Mzumbe hajastaafu?Mbona wengi TU wamepanda hasa wale waliokuwa na bidii ya kutafuta zaidi labda Itika ndio bado yuko pale
Oyugi nae yupo wapi?Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...
Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni mkurugenzi wa sheria wizara ya elimu. Je ni kweli?