Recent content by mimimchaga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kushindwa kuongea mbele za watu 'Fear of public speaking' na namna ya kulikabili

    Hizo dawa ulizoandika kwamba ukimeza tatizo linaisha au
  2. M

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

    Wewe ni mtu na nusu nipe connection ya kazi fulani tu nitakuombea sana
  3. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

    Kikokotooo!!! apumzike anapostahili amewaaibisha sana wachaga wa uru
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Sidhani kama nitakuja kuoa, nimeathirika na suala hili

    Da pole sana watu wanapata wapenzi wa malengo wanashindwa kuwathamini nawaonea wivu mie
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hupendi kuambiwa ambiwa kuhusu wewe yaani kinakukera?

    Ni dunia ya sasa wanaona mwanaume akizubaa ni kama ameharibikiwa kumbe sio
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hupendi kuambiwa ambiwa kuhusu wewe yaani kinakukera?

    Olewa hakuna mwanaume wa pekee yako😭
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa nyama ya kuku inabidi tuanze kufuga wenyewe

    Tunafuga sana tunakula kienyeji pure
  8. M

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

    Ni sawa lakini kwa mitazamo hasi ya wanaume wa sasa wanataka return kama uivyosoma huko
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

    Na mfano umesema upo tayari kwenda popote?Dah mbona kama mashaka maana hapa wanaume wamecoment asilimia 90, ina maana akikupandisha atataka umfikie na lazima akuombe mlale NAE, je utakuwa tayari kwa ajili ya kulala na mtu kisa tu ndege? Au unafanya biashara ? Jitafakari
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amekuwa akizungumza kauli zenye utata na dharau, ni namana gani naweza kuvunja ndoa?

    Kila mwanamke ana mapungufu omba Mungu mapungufu yasizidi kipimo cha akili. Watoto watatu ?msameheane muanze upya,happy birthday🙏
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanaume wa kunioa

    NREJESHO NI BADO SJAPATA WAPENDWA, NKIPATA NALETA HAPA
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanaume wa kunioa

    Namuomba MUNGU Anipe mchumba na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra, Sio mnene sana/Chaga Ni wa kawaida Sina Ugonjwa wowote Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi...
Back
Top Bottom