Wakuu naomba kuuliza swali la fasta, nimesikia wimbo flani ukiimbwa kwa sauti ya aslay...KWELI NAWATONGOZAGAAA, WANANIKUBALIAGAA...........
Naomba kujua ni wimbo gani huu tafadhali?
Mkuu haupo serious....Sasa kukitengwa shule maalum (Za watoto wa viongozi) ndo itasaidia kuboresha elimu katika shule ambazo sio maalum (Za akina sisi)!!!?...., whats the difference with private school then?
Daaaah mi nachukia sana wale wanaovaa manguo ya hovyo, au kupindisha pindisha midomo ili wachekeshe wananiudhi balaaaa.....Sjui kwa nini miaka ileeeeeee nilikuwa nacheka
Nakumbuka kuna kipindi diamond alipotoa ile Mbagala kuna msanii flani alilalamika kaibiwa naye akatoa yake inayofanana na Mbagala. . Hivi alikuwa ni nani yule? Na yupo wapi siku hizi?
Hili goma halichoshi aisee hata usikilize mara elfu. Ngoma kali balaa.
Runtown na Uhuru wamekinogesha balaaaaa
Kwa hili chege nimekuvulia kofia...
https://m.youtube.com/watch?v=luwbbJ558gE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.