bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,997
Uwiiii uwiiii, dunia inaisha uwiii uwiiiUpako ndo mnini huo?
Uwiiii uwiiii, dunia inaisha uwiii uwiiiUpako ndo mnini huo?
Habari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu
Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.
But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...
(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
Wanaume wengi huwa wanapenda wanawake wenye tabia zinazofanana na tabia za mama zao

Sipat picha ukitukanwa njian, na mpita njiaHabari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu
Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.
But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...
(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
Sipat picha ukitukanwa njian, na mpita njia
Kabisa huyo anahitaji MAOMBI tena ana mapepoKhaa! Unahitaji maombi ww
Huyu Itakuwa mimba imebebewa gest kama si uwanja wa fisi ama mtaa wa wahya na na kuzaliwa ilizaluwa chooni.Dunia ina binadamu wengi kila mtu na mambo yake na shida zake.
Kwa hiyo bila kutukanwa hupati mzuka kabisa?
Hilo tatizo aiseee
Hahahahaha inawezekana pia. Yeye bila matusi hapati mzuka. Ana matatizo huyu sio bureHuyu Itakuwa mimba imebebewa gest kama si uwanja wa fisi ama mtaa wa wahya na na kuzaliwa ilizaluwa chooni.
Umeonaeee lzm anawalakini huyuuu maana huyo jini kahaba lake limemmilikisha kbsaaa ahera na duniani kiasi kwamva ya ahera anayataka mpy duniani. Mungu atunusuru sisi wema na vizazi vyetu milele kizazu cha 1-4Hahahahaha inawezekana pia. Yeye bila matusi hapati mzuka. Ana matatizo huyu sio bure
Mwanamke mwenye matusi kwangu hapana kabisa.Umeonaeee lzm anawalakini huyuuu maana huyo jini kahaba lake limemmilikisha kbsaaa ahera na duniani kiasi kwamva ya ahera anayataka mpy duniani. Mungu atunusuru sisi wema na vizazi vyetu milele kizazu cha 1-4