Dau litatokana na yeye utendaji kazi wake, kazi za salon tunalipa kutokana na utendaji kazi wa mtu, kwahiyo atafanya kazi kwa miezi 2 kwa uangalizi, ndipo atapata mkataba wa miezi 6 baada ya hapo tunaendelea.
Tunatafuta dada wa kazi za salon..mwenye ujuzi wa kusuka mitindo mingi ya kisasa..
Salon iko Tabata mwananchi
Vigezo÷
Awe na umri kuanzia 18
Awe ameshafanya kazi za salon karibuni
Awe karibu na maeneo na tabata
Mawasiliano.
0719 346497
huna evidence ya kukataa mtoto...unaweza ukawa unakata kilicho chako...
siku zote mama humjua baba wa mtoto.
it seems huna mpango wa kuwa na mwanamke for future..so yawezekana wewe ni mvurugaji tu...ila hao wanawake unaowavuruga ni watoto wa wanaume wenzako..
jinsi unavyompenda mwanao na...
Habari zenu wakuu mimi ni mwajiriwa Mwanza ila nataka kuacha kuajiriwa nijiajiri, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata eneo karibu na ziwani maana nataka kufanya kilimo cha umwagiliaji,
Na pia naomba mnisaidie mawazo ni zao gani ulimaji wake hauna complication sana, as ndio naanza najua...
we mwenyewe mngese tu,wivu malaya anachata usoni kama wadogo zako wanakalia tofali hujui kutumia fursa,af ukome kidudu mtu wewe,wivu iloooo et anapoteza muda ulitaka aje akae na wewe kizibo mxiuuuu
si mnaona mlivyo mafala badala ya kupanga mikakati ya kupambana na siasa nzuri,mnawaza jinsi ya kupoteza watu,hapo hamna mnachojiandaa zaidi ya mabom muue mseme ni ccm,we are not smart but not fak like u chadema,yani nyie ni wapuuzi ningekua msajili wa vyama ningelideletea kule hlo lichama...
Mmh kama st magret jamani,ingekua ina had fm 6 ningesema ulikua unasoma pale, jamani usipokua na nguvu unadumbukizwa kwenye sufuria, yani wapishi hawapati kazi ya kukwangua ukoko, nakumbuka watu walikua na jezi za kupigania ukoko, yanii daaa hahaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.