Sipendi Ubepari
JF-Expert Member
- Jan 12, 2012
- 249
- 40
serikali ya ccm ina magonjwa mawili sasa hivi :
1.ugonjwa wa dengue
2.ugojwa wa ukawa. Hapa jk yupo icu
zihurumie mbavu zangu mkuu.
serikali ya ccm ina magonjwa mawili sasa hivi :
1.ugonjwa wa dengue
2.ugojwa wa ukawa. Hapa jk yupo icu
Hivi CCM zipo ngapi? ACT je?Hivi Bavicha zipo ngapi?
Kuliko ACT?!bavicha iko weak sana... viongozi wake wanaburuzwa na viongozi wa kitaifa..
Mtapigana saana kumpinga Lowassa!hahaha Chama cha matamko!
Hahahahaha bado wakati wa kumteua mgombea Urais lazima mpigane!
Mmemkana msaliti Zitto?Katika hali ya kawaida lazima mumkane kiongozi wenu.
hahaha chama cha matamko!
Hahahahaha bado wakati wa kumteua mgombea urais lazima mpigane!
uchaguzi 2015 utakuwa mzuri sana hautapishana na wa malawi na kuna hatari ya viongoz wa serikali kujiua au kuua maelfu
Na tutasikia mengi tu kutoka Intarahamwe! Tutegemee watakaojiudhuru uhai kama yule kibwetere wa Malawi! Watakaoingia msituni kama yule Bwana kitumbo au tumbo-mziki wa Mbinga na wengine na mengine mengi ya kuuchekesha ulimwengu huu ili uongeze life span au life expectancy!!
UKAWA kuweni makini, maana ccm watatumia kila mbinu kuwasambaratisha! Mwanachadema wa kweli hawezi kupuuza Ukawa hata kidogo, huyo ni mwanaccm aliyejivika upinzani/uchadema!