Ile style ya Steven Set wa Namungo Fc, anachomekea jersey yake Kisha anaanza kutembea huku akiwapungia mkono mashabiki kwa tabasamu Kama mtu aliyelipa Kodi Jana anapokutana na baba mwenye nyumba asubuhi.
Bila shaka hawa jamaa si wazima kwa kweli. Unabebaje mzigo wote huo kisha unaenda nunua magari ghafla tena hapa hapa Dar ? Unaenda nunua viwanja Dar ? Hawa si wezi Bali vichaa. Waliposhika hizo hela mikononi akili nazo zikapotea ghafla.
Mbona hapo hesabu kama hazijakaa vizuri?.
Jumla ya hela...
Cherenganya,
Chifu, hakuna aliyeonesha vyeti hapa. Umeniambia hapo juu kuwa sikuwa na akili hivyo nisingeweza kusoma hiyo Sheria. Nami nimekujibu si kuwa sikuwa na akili kama ambavyo umefikiri au nilikosa vigezo bali ni kwamba nilipita njia nyingine si kwa kukosa akili bali Sheria haikuwa...
Kila muda najaribu kurudi labda ntakuta mzee anasema kuna vitu alisahau akati anasimulia hivyo ameweka mwendelezo Ila hola. Shukrani za dhati kabisa zikuendee msimuliaji kwa yote ambayo uliona vijana wako tujifunze na za pili ziende kwa mama yetu kwa kuamua kukuruhusu ili ushee nasi kumbukumbuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.